Volatility
JF-Expert Member
- Aug 22, 2018
- 3,935
- 7,524
I hope, we are not going to start hearing renewed stories of rebuilding the squad.
Kwanini haumtaki kapteni wako?Carrick Maguire wa nini kwenye starting XI??
Kwanini haumtaki kapteni wako?Carrick Maguire wa nini kwenye starting XI??
Tunaanza kulaumu saa ngapi?Carrick Maguire wa nini kwenye starting XI??






Hapa nasubiri nione goli kabla ya dakika ya 40Kwa huu mpira tutachomoka Kweli?
Hata chelsea wana DNA yaoMpaka unakuwa mzee unakufa team haijabeba chochote...
Hapo ndio utajua mambo YA DNA ni takataka. Wait and see.
Apewe tu kwan sie shida yetu nn?Hivi Carrick akishinda leo na akiwafunga Chelsea kwanini asipewe mikoba akamaliza musimu na akipata top four finish wakamthibitisha. Kitendo cha kumweka benchi Fernández kinaonyesha haogopi majina makubwa kama Solskjaer View attachment 2021308
Ni mapumziko hii mechi sare inanukia ambayo siyo mbaya kama kufungwa.Guys Mechi saa ngapi, mechi sio ya kukosa hii.
Ushindi na uzoefu unaonyesha kocha akiwa mpya kila mchezaji hujituma kwa hiyo akifanya vizuri wampe tuApewe tu kwan sie shida yetu nn?
Mkuuu si fangio jipya unafikiri linaachaga taka taka nyuma zote twende ngoja Lichfield ssaUshindi na uzoefu unaonyesha kocha akiwa mpya kila mchezaji hujituma kwa hiyo akifanya vizuri wampe tu