Kwamba epl ina chelsea pekee?
Inatakiwa uhofie midtable teams ambazo ni nyingi na zinapenda kupaki basi. Kama unatumia chelsea kama kigezo cha kugewa timu ni sawasawa na kilipotumika kigezo cha mechi dhidi ya psg
Inatakiwa uhofie midtable teams ambazo ni nyingi na zinapenda kupaki basi. Kama unatumia chelsea kama kigezo cha kugewa timu ni sawasawa na kilipotumika kigezo cha mechi dhidi ya psg
Akimfunga Chelsea utamleta nani tena?

