Manchester United (Red Devils) | Special Thread

Manchester United (Red Devils) | Special Thread

Appointment of a rookie as a skipper was blatant insensitivity to the culture, legacy and traditions of Manchester United
PSX_20211120_230751.jpg
 
Mkuu sijawahi amini motivation za Ole.....baada ya kufungwa na city alisema "tutarudi kama mnyama aliejeruhiwa dhidi ya Watford" hahahaha
Alimaanisha kweli, maana mnyama aliyejeruhiwa yupo hatiani kuuawa na wanyama wengine
 
Poor signings costed Ole his job

Most of his signings were influenced by the media, not the real needs of a club.

Sancho, Maguire, among poor returns and the new manager must decide what to do with them.

Solksier is expected to be FIRED within 24 hrs from now. And, he will depart immediately with his technical bench.

New manager Zinedine Zidane will bring his own supporting staff.
Media na legends wa United ndio tatizo kuu wala sio solskjaer
 
Wazee msijisumbue tu, timu yetu inaendeshwa na watu vilaza. Unahitaji kikao cha dharura kumfukuza Ole?

Tafsiri nyepesi maana yake timu yetu ilikuwa haina mpango mbadala endapo mpango wa awali utafeli. Nimesema hapa mara nyingi sana nafasi ya Ed inahitaji mtu mwenye akili sana na sio mtu kilaza.

Leo hii Barcelona wamempa timu Xavi ila ktk backup plan Luis Enrique na Pep Guardiola wapo ktk contingency plan incase akifeli na hata wao wenye wanafahamu.
 
Afadhali aje mwamba "Brendan Rodgers" atatufaa kwa mbinu zake za kimkakati .... binafsi sijapendezwa na tetesi za ole kusepa !! Tunahitaji vichekesho kila wiki kwa afya
Mbona ole yupo, au aje kuwa msaidizi!?
 
Could leave as early as January for West Ham if Zinedine Zidane is appointed but if Wayne Rooney takes over he may stay till the end of season before making a final decision. View attachment 2017986
Kocha mpya aje hii mizigo ipungue, aanze na boga magwaya afuate huyu mpuuzi amalize na mrenda mrenda Martial.
 
Angeondoka tu kabla ya kufukuzwa kwani ole haoni kama imeshindikana ?
Screenshot_20211121-004119_Twitter.jpg
 
Back
Top Bottom