Mangungo II
JF-Expert Member
- Jul 6, 2012
- 18,172
- 26,906
Mzee 4 kweliTushapigwa 2 na madogo wangetulia tungekuwa tushapigwa 4
All the best Ole
Mzee 4 kweliTushapigwa 2 na madogo wangetulia tungekuwa tushapigwa 4
All the best Ole



Wanaleta utani ranieri aliwapa ubingwa Leicester cityWatford wana claudio Raniel nyie muna ogs
hata huko ana kushindwa kutambua wachezaji fulani wamedevelop -ve mentality na kuwaweka benchi ni ubovu wa cocha, pia kuwatambua na kushindwa kuwachukulia hatua ni ubovu wa cocha pia.Nimechogundua ni kwamba ....
Ole ni chanzo cha matatizo lakin Kuna wachezaji ambao ni zaidi ya matatizo ....
Wakati ole anaomba msamaha kwa mashabiki ,Bruno Yuko nyuma anasema asilaumiwe kocha ,...maana yake Kuna wahuni wachache wamejichimbia ndani ya united ni wavivu na hawaingii uwanjan kupambambana kabisa ....
Body language ya wachezaji wa united inaonesha hawapo uwanjani kabisa kuipambanIa timu .....
Kama wachezaji zaidi ya wanne hawajitumi kwenye team ni ngumu kuwaondoa wote kwa pamoja ,lakin kocha ni rahisi Sana kuondolewa ....huwezi fukuza wachezaji wote wanne ,lakin ni rahisi Sana kumfukuza ole peke yake....
Hapa ole lazima aondoke tu ,Kuna mgomo umejichimbia ndani kaa ndani ,huwezi kuona kwa macho ....lazima ole aondoke united either kwa kufukuzwa au yeye mwenyewe abebe mabegi arudi kwao kuchunga ng'ombe ......
Now you are getting to the conclusion that OLE's words and actions are incoherent.Nilichojifunza leo. Wachezaji wabaya wanaanza first eleven alafu wachezaji wazuri wanakaa benchi....
Pia nimegundua wachezaji wengi wakudefence wanaanza first eleven wakati wachezaji wakushambulia wanaanzia benchi ma ole huwa anatuaminisha timu yetu ni attack mwanzo mwisho
Even this Sir Alex should be axed from the Board. Man Utd needs to move on from him. This old man is pinning this club to the past.Kikao cha dharura cha bodi kimeitishwa ila sina matumaini nacho kama Sir Alex atahudhuria basi anawaweka wote mfukoni mwake
Leo hakuna cha Sir Alex wala Sir Elton, lazima kieleweke na akileta ujinga naye anaondoka. Kamati ya ufundi toka Tz tuko kazini, timu yetu sote na kuumia tunaumia sote, timu co ya babaake ile waliyoianzisha washakufa.Kikao cha dharura cha bodi kimeitishwa ila sina matumaini nacho kama Sir Alex atahudhuria basi anawaweka wote mfukoni mwake