Manchester United (Red Devils) | Special Thread

Manchester United (Red Devils) | Special Thread

Leo hakuna cha Sir Alex wala Sir Elton, lazima kieleweke na akileta ujinga naye anaondoka. Kamati ya ufundi toka Tz tuko kazini, timu yetu sote na kuumia tunaumia sote, timu co ya babaake ile waliyoianzisha washakufa.
Those Old respected guys should be relieved from anything they are engaged with the club, the club needs a new clique with fresh ambitions and zeal.
 
Nimechogundua ni kwamba ....

Ole ni chanzo cha matatizo lakin Kuna wachezaji ambao ni zaidi ya matatizo ....


Wakati ole anaomba msamaha kwa mashabiki ,Bruno Yuko nyuma anasema asilaumiwe kocha ,...maana yake Kuna wahuni wachache wamejichimbia ndani ya united ni wavivu na hawaingii uwanjan kupambambana kabisa ....

Body language ya wachezaji wa united inaonesha hawapo uwanjani kabisa kuipambanIa timu .....


Kama wachezaji zaidi ya wanne hawajitumi kwenye team ni ngumu kuwaondoa wote kwa pamoja ,lakin kocha ni rahisi Sana kuondolewa ....huwezi fukuza wachezaji wote wanne ,lakin ni rahisi Sana kumfukuza ole peke yake....


Hapa ole lazima aondoke tu ,Kuna mgomo umejichimbia ndani kaa ndani ,huwezi kuona kwa macho ....lazima ole aondoke united either kwa kufukuzwa au yeye mwenyewe abebe mabegi arudi kwao kuchunga ng'ombe ......
Ole is terrible in team selection and game management.

Ukiona kikosi chake unajua kabisa hii timu inaenda kufungwa.
 
Ole leo kataweza kumgegeda mkewe kweli??..

Alooh bodi ifanye haraka.

Af bhana kumbe VdB anaweza kucheza nafasi ya kilaza McTominay na kudeliver a good offensive work.
I once said, wachezaji wa kingereza ni takataka.

Hakuna talent kule ni upumbavu umejaa.

Mpaka sasa sijaona cha maana wachezaji wa kingereza wanafanya uwanjani.
 
Screenshot_20211120-223850_Telegram.jpg
 
"WANA OLE GUNNER, TUNA HASHIM RUNGWE SPUNDA"

Kuna zama za kimaisha lazima binadamu akubali ukweli kuwa uwezo umefika kikomo..
Haijalishi bado unaipenda kazi unayoifanya au matamanio ya kufikia malengo flani...Ukomo wa uwezo ukifika mwisho ni lazima kutupa taulo na kukaa mbali.

Ishawahi kutokea kwa Mike Iron Tyson, Muhammad Ally, Kobe Bryant, Ronaldinho Gaucho, John Cena na mastaa wengine kibao.
Hali ni tofauto kwa mwanasiasa wa Tanzania mtaalamu Hashim Rungwe na Kocha wa Manchester United, Ole Gunnar Solskjaer kwani wote wawili bado wanaamini wana uwezo wa kutimiza malengo yao na mafanikio ya taasisi zao ilihali uwezo wao ukiwataka kutupa taulo.

Hashimu Rungwe kuna nyakati aliamini sera ya kutoa ubwabwa inaweza kumpeleka Ikulu ila Ole Gunner anaamini kuwa kupewa muda kunaweza kumfanya kuwa kocha wa mafanikio wa Manchester United na kuondoa ubabe wa Manchester City, Liverpool na Chelsea.

Hawa ni binadamu wanaovuta hewa moja ya oxygen kwenye majiji tofauti lakini akili zao zikiwa zimefanana..

Ole Gunner akiwa Jiji la Manchester United anawaza kama mtoto mdogo kwa kitu ambacho hakiwezekani kwani uwezo wake umefika mwisho na pia uwezo wake ni mdogo sana kulinganisha na makocha wakubwa waliopo ligi ya Epl.

Ukiondoa makocha wakubwa wa Epl swali la kujiuliza Je Ole Gunner anasogelea hata nusu ya uwezo wa Claudio Ranieri?Brandan Rogers? Antonio Conte? na wengineo wachache waliopo Epl ambao ni makocha wa timu za kiwango cha kati?.

Naamini na nitaendelea kuamini kuwa Manchester United ina matatizo mengi sana lakini tatizo kubwa la kuanza nalo ni kumuondoa Ole kwenye kiti cha Old Trafford.

Chauma haiwezi kuchukua nchi ndivyo ilivyo kwa Ole hawezi kufanya lolote ndani ya Manchester United.

Anyway Tanzania tuna Hashim Rungwe wetu na Manchester United wana Ole Gunner Solskjaer wao.

KEY THE DON
 
Poor signings costed Ole his job

Most of his signings were influenced by the media, not the real needs of a club.

Sancho, Maguire, among poor returns and the new manager must decide what to do with them.

Solksier is expected to be FIRED within 24 hrs from now. And, he will depart immediately with his technical bench.

New manager Zinedine Zidane will bring his own supporting staff.
 
Could leave as early as January for West Ham if Zinedine Zidane is appointed but if Wayne Rooney takes over he may stay till the end of season before making a final decision.
PSX_20211120_230404.jpg
 
Back
Top Bottom