Manchester United (Red Devils) | Special Thread

Manchester United (Red Devils) | Special Thread

Erik Ten Hag ni mzuri ila ufanisi wake upo nyuma ya Edwin Van Der Sar (Football Executive) na Marc Overmas (Director of football) ukimchukua pekee yake kwa mfumo wa timu yetu namuona akifeli vibaya sana ndani ya muda mfupi sana.

Huu ni wakati sahihi sana wa ile nafasi ya Ed kupewa mtu mwenye uzoefu wa kuendesha vilabu vyao soka as a football executive. Wasifanye kosa la kuleta kilaza kama Ed, niliwahi kuelezea impact ya kuwa na mtendaji mkuu mwenye kichwa kizuri.

Wamiliki wa Man City waliponunua timu wakamtafuta football executive toka Barcelona Ferran Sorriano kuwaendeshea timu. Mtu wa kwanza kuanza kumuajiri alikuwa ni football director kutoka Barcelona Aitor Txiki Birigistan moja kwa moja wakaanza kusuka upya scouting staffs globally na wengi wao walitoka Barcelona.

Ferran Sorriano aliwaambia mabosi wa City ndani ya miaka 5 ya uongozi wake atabeba makombe 5 na Club itapunguza 50% hasara inazotumia kujiendesha na kweli msimu wake wa kwanza alimuondoa Mancini akamleta Manuel Pellegrini kichwani walifahamu fika wanamtaka Pep Guardiola. Sisi tunakosa hii kitu watu wanaojua nini wanafanya. Ole anacheleweshwa kufukuzwa ni kwa sbb Ed na DoF wake hawana mtu kichwani kwako atayeendelezea project waliyoipanga muda mrefu.

Angalia takwimu za hawa football Executive wawili walioanza kazi pamoja ndani ya hii misimu 9, Ferran Sorriano vs Ed Woodward

Ferran Sorriano (Sept, 2012 - )
Premier League trophies: 4
FA: 1
EFL:4

Ed Woodward (July, 2013 - )
Premier League trophies: 0
FA: 1
EFL:1
UEFA Europa: 1
Anayekuja kuchukua nafasi ya Ed ni insider pia..jamaa fulani huwa yupo na Ed muda mwingi..

So the cycle continues i think.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Hili nakupinga Ferguson hakuwahi kufundisha timu goi goi namna hii.

Huu ugoigoi wa timu yetu ni replica ya attitude ya Ole.

Unaona kabisa timu ile huwa haifanyi tactical training zaidi ya kukimbia kuondoa hangover za mapenzi na bia tu.

Uliona wapi timu ya Ferguson inanyanyaswa kwenye physicality na timu yoyote EPL?

Uliona wapi timu ya Ferguson inacheza hovyo consecutively mechi kumi bila Ferguson kufanya overhaul ya squad.?

Ulishawahi kuona mchezaji chini ya Ferguson anafanya upuuzi halafu Fergi asimkoromee au kutompanga kikosini hata kwa mwezi mzima ?

Kifupi Ole wachezaji wake wanamchukulia kama ROOMMATES na siyo watu wanaotakiwa kutii anavyotaka yeye hiyo ni kwa sababu Ole anawachukulia wachezaji wake kama COLLEAGUES tu badala ya kuwa subordinates wake.

Ole is just a nice boy not a Man.
His time is up..

Hawezi kuturn things around..

Afurushwe..I don't even care about him being our legend.





Sent using Jamii Forums mobile app
 
His time is up..

Hawezi kuturn things around..

Afurushwe..I don't even care about him being our legend.





Sent using Jamii Forums mobile app
Ofcourse lakini kufukuzwa Ole ni December huko baada ya matumaini ya ubingwa kupotea.

Yawezekana wataendelea kutaka apiganie top four kisha mwisho wa msimu watamtimua kazi.

Hawana succession plan na hakuna high profile manager ambaye ni easy pick kwa sasa.

Hivyo tuendelee kuvumilia vipigo, pamoja na hayo mimi nasikitishwa zaidi na namna timu inavyocheza hata academy players wa Nick But wako siriasi kuliko hawa vijana wa Ole.
 
Ofcourse lakini kufukuzwa Ole ni December huko baada ya matumaini ya ubingwa kupotea.

Yawezekana wataendelea kutaka apiganie top four kisha mwisho wa msimu watamtimua kazi.

Hawana succession plan na hakuna high profile manager ambaye ni easy pick kwa sasa.

Hivyo tuendelee kuvumilia vipigo, pamoja na hayo mimi nasikitishwa zaidi na namna timu inavyocheza hata academy players wa Nick But wako siriasi kuliko hawa vijana wa Ole.
Madogo wa academy wanacheza..hata juzi walishinda Amad alipiga bonge la goli

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Kwamara ya kwanza kwenye historia ya hii timu toka ondoke fergie, naona kocha hapendwi na majority.....

Mourinho, van gal. Moyes wote walikuwa na watu weng tu wanawatetea ila Ole wengi wamemkana....hta legend wenzie wameishaanza kumnanga....

Mwisho wa msimu Ole akiwa kocha wetu bado ila tumemaliz nafasi ya 6 atasema "we are going to try again next season, some improvement then we will be ready to go again.....it was not enough but we must prepare for the next season"
 
Anayekuja kuchukua nafasi ya Ed ni insider pia..jamaa fulani huwa yupo na Ed muda mwingi..

So the cycle continues i think.

Sent using Jamii Forums mobile app
Duh! Kama mfumo wa uongozi utaendelea ule ule tunahitaji kocha mwenye kiburi na mjeuri aina ya Luis Enrique (#1) au Diego Simeone. Hawa baada ya majira ya kiangazi mwakani wanaweza kuachana na majukumu yao ya sasa.

Kwa sasa best option ni kocha wa mpito Carlos Queiroz (yupo timu ya taifa ya Misri) au hata huyu Ralf Rangnick ambaye baadae anaweza kupandishwa cheo kuwa director of football. Anaonekana ni mtu mwenye plan kichwani kwake.
 
Likizo kidogo au mlijua ndiyo anasepa?
20211108_194015.jpg
 
Duh! Kama mfumo wa uongozi utaendelea ule ule tunahitaji kocha mwenye kiburi na mjeuri aina ya Luis Enrique (#1) au Diego Simeone. Hawa baada ya majira ya kiangazi mwakani wanaweza kuachana na majukumu yao ya sasa.

Kwa sasa best option ni kocha wa mpito Carlos Queiroz (yupo timu ya taifa ya Misri) au hata huyu Ralf Rangnick ambaye baadae anaweza kupandishwa cheo kuwa director of football. Anaonekana ni mtu mwenye plan kichwani kwake.
Huyu Ralf amewahi kufundisha timu ipi zaidi ya kuwa DoF pale Red Bull Liepzig .?
 
Back
Top Bottom