Manchester United (Red Devils) | Special Thread

Manchester United (Red Devils) | Special Thread

sijasomea ukocha ila mwamba mbn kama anabahatisha ivi.....

hawa watoto wa kiingereza mbeleko itachanika kabisaa .....hawabebeki kiukwel.... wanaobebwa na mbeleko ya chuma na bwana ole hawatokaa wairudishe hii timu kwenye mstar wake .....
kucheza manutd saiv kama c muingereza ....uwe na kitu tofaut Sana otherwise ....utastruggle Sana .....shabbash
 
IMG_0416.jpg

Watfoard nao watajipigia
 
Timu inayosubiri kutegemea bahati,ngoja tusubiri hizo bahati katika dunia hi mmhh!, Hii timu siyo ya ushindani ni li timu tu la kukamilisha ratiba tu basi,watu wanacheza cheza tu na kocha naye Kama mdoli...
😂😂😂😂kwa hio hivi mlijua mna uwezo wa kuifunga man city leo.acheni utani nyie 😂😂
 
😂😂😂😂kwa hio hivi mlijua mna uwezo wa kuifunga man city leo.acheni utani nyie 😂😂
Sijasema kuwa tuna uwezo wa kuifunga man city,labda ume missinterprete visivyo...rudia kusoma Tena,haya ni malalamiko yetu ya kila siku toka msimu huu uanze...
 
Tuna kocha mbovu ndio..ila pia tu a wachezaji vichwa maji kinoma mfano goli la pili..what was that??..Maguire na Shaw wanawezaje kuitwa international footballers kwa blunder ile..

Aisee 353 is not working,4231 is not working..

We are fucked..
 
Tunakocha mbovu ndio..ila pia tu a wachezaji vichwa maji kinoma mfano goli la pili..what was that??..Maguire na Shaw wanawezaje kuitwa international footballers kwa blunder ile..

Aisee 353 is not working,4231 is not working..

We are fucked..

Sent using Jamii Forums mobile app
Not the formation, not the philosophy

Having Ole is not working
 
Back
Top Bottom