Bavaria
JF-Expert Member
- Jun 14, 2011
- 53,092
- 53,568
Am sure kwa structure ya United huyu kocha hawezi kuja.Eric Ten Hag
Am sure kwa structure ya United huyu kocha hawezi kuja.Eric Ten Hag
Naamini hata conte kachomoa kwa ile structure ila ndio hatujui ya ndani hukoAm sure kwa structure ya United huyu kocha hawezi kuja.
Wapo wengi sana ila kwa wanaoweza kuendana na mifumo ya soka la ushindani wa kisasa pia kocha mwenye kiburi kwangu mimi Luis Enrique anaweza sana kufaa.Hivi wana jamvi tukifukuza ole pale kwasasa tutaleta kocha gani maana conte ndo uyo?
Ni wachambuzi wa mpira wanaoujua mpira kwa kubetHuwa najiuliza sn wanaosema hivi huwa wanamaanisha nn.
Mkuu sio 14:30 ni 15:30 kick-offKesho 14:30...Lunch time kickoff
Another day for Maguire's shit show..
Huwa nikiangalia hii picha nakubaliana na wale jamaa walikuwa wanasema Ole ni PE Teacher.Hawa jamaa hapa walikuwa wameenda wapi ?View attachment 1999974
Manchester United is a poorly coached team.Hawa jamaa hapa walikuwa wameenda wapi ?View attachment 1999974
Cheki slabhead alipo,,na ni beki wa mwisho.Hawa jamaa hapa walikuwa wameenda wapi ?View attachment 1999974
Hawa jamaa hapa walikuwa wameenda wapi ?View attachment 1999974
Ilitakiwa tupigwe 10+ goli ile siku kwa uchezaji ule.Hawa jamaa hapa walikuwa wameenda wapi ?View attachment 1999974
Goli la kwanza kama sio la pili kwenye kile kipigo cha tano bila.Hii picha ilipigwa wakati gani? Inafikirisha mno.
Wakati tunaenda kufungwa goli la kwanza na LiverpoolHii picha ilipigwa wakati gani? Inafikirisha mno.
Ninadhani Liverpool ilifika kipindi kama wakawa wameridhika na ushindi lakini wangetupiga hata 8.Ilitakiwa tupigwe 10+ goli ile siku kwa uchezaji ule.