Manchester United (Red Devils) | Special Thread

Manchester United (Red Devils) | Special Thread

IMG-20211106-WA0044.jpg
 
Wazee wa huyu mjamaa anatuokoa aseee
Sijui wanaomsema wana maana gani



Narudia tena kwa team ndogo atashine
Lakini bila proper tactics zitakazoweza kuziba pengo la bwa mkubwa team zinazojielewa tutaumia imma big fan of him ila kocha hatuna ......wachezaji wengi hawaeleweki ......


Total shambles

Bado hajafukuzwa tu
 
Ishu sio mfumo gani unatumika

Ishu ni mbinu zipi zinatumika ndani ya mfumo.

Ishu ni wachezaji gani wataperform vizuri kwa aina ya mfumo uliochagua

Ndio maana mbinu na style ya uchezaji wa 433 ya klop ni tofauti na Pep

3-4-3/3-5-2 ya Tuchel ni tofauti na Conte.

Kwahiyo Ole asijipangie mfumo ambao hauna style ya uchezaji as well as mbinu bora ndani yake na wrong selection of players.
wachezaji wote wa Man U ni selectable. wao wenyewe wachezaji wanasema they have tactical problem.
 
Back
Top Bottom