Manchester United (Red Devils) | Special Thread

Manchester United (Red Devils) | Special Thread

Dah ila hii team yetu bado sana tukiendelea kuwa na kocha huyu haya mashindano tutakuwa wasindikizaji tu nawaza ndo unakutana na team kama Bayern
Kuna muda nakuwa Napata hisia kali sana kuhusu Sir Fergie huyu babu nuksi sana mi nishaona kama vile hataki rekodi zake zifunikwe na Mtu yeyote pale OT hivyo basi anafanya kila namna yani figisu figisu tu SOLSKJÆR abaki ili tuendelee kupigwa tu abaki kuwa kileleni kwenye kutwa makombe Pale OT maana keshaona kikosi tulicho nacho ni kikubwa mno kuliko alichokuwa nacho kipindi chake hivyo basi anaona akija Kocha mzuri Pale nikujizolea tu Makombe ama nyie mnaonaje?..?
 
3-5-2...

United tumemtaka Conte,Ole akaona isiwe shida..amemcopy Conte fasta.

3-5-2 ina maana Sancho,Amad,Pellistri watafute la kufanya..kama ni kweli Ole atastick na hii fomesheni

Shaw na AWB je wanaweza kucheza kama Wing backs efficiently?.

========
De Gea

Lindelof Maguire Varane

AWB McFred Bruno Shaw

Ronaldo Cavani

=======
Hio system inataks muwe na mabeki wazuri sio mnajiendea tu

Varane,halima gwaya, lindamnofu hawataweza huo mfumo ni mabeki uchochoro
 
Haya hapa kibarua cha Ole baada ya kupozwa wekeend, Sasa tunasema kazi iendelee😅.Daaah ngoja tuone.
 
Wakati yule bwana kaanza na assist za kutosha wali msifu sana .leo hii sijui kawaje uko wana msema sana
 
Hivi hili kichwa kikubwa linafanya nini humu ndani?..? linakera mpaka najihisi kukosa Pumzi
IMG_20211024_191105_517.jpg
 
Back
Top Bottom