Manchester United (Red Devils) | Special Thread

Manchester United (Red Devils) | Special Thread

oYaaa wakuu MMEONA ANACHOKIFANYA ERIC BAILLY?...?
IMG_20211102_235400_064.jpg
 
Wanakosaga chakuongea tu
Yani wanataka ronaldo afanye nini ili wampe heshima yake, au kisa ni mchezaji mkubwa basi wanataka kumkosoa tu ilimradi, jamaa anacheza kama kijana wa miaka 18 haoneshi kuzeeka, mechi karibu zote alizocheza za utd tangu kurudi kwake anatubeba lkn mtu anaibuka na kusema eti ni mzigo, huu ni unafki wa kiwango cha makinikia.
 
Back
Top Bottom