Forgotten
JF-Expert Member
- Jul 20, 2018
- 3,630
- 11,096
Ole ni ngumu kumuelewa anataka nini, wachezaji anapewa ila hajui kuwatumia kupata matokeo.Mm alinichosha pale alipotuaminisha tuna uhaba wa right wing.
There's no way VDB na wenzake wengine wata-develop kama kila mashindano hawapati nafasi. Ole ni mgumu sana japo kufanya a small change kwenye kikosi chake ili kuwapa confidence wachezaji wake wa bench. Siku tukipata majeruhi au emergency yoyote muda tutakaotaka kumtumia VDB atakuwa ameshapoteza morali na kujiamini uwanjani.