42774277
JF-Expert Member
- Aug 24, 2018
- 6,836
- 8,874
Tumewazidi 8 points na week ijayo mko na City...
Toaneni damu tu.
Who cares?
Tumewazidi 8 points na week ijayo mko na City...
Diogo Dalot yupo na huu mfumo utamfaa sana..3-5-2...
United tumemtaka Conte,Ole akaona isiwe shida..amemcopy Conte fasta.
3-5-2 ina maana Sancho,Amad,Pellistri watafute la kufanya..kama ni kweli Ole atastick na hii fomesheni
Shaw na AWB je wanaweza kucheza kama Wing backs effeciently?.
========
De Gea
Lindelof Maguire Varane
AWB McFred Bruno Shaw
Ronaldo Cavani
=======
Yani tuanze biashara ya kutaka kuwaridhisha akina sancho na ford? Kama mfumo umekubali na matokeo yanaoneka watokeee benchi tu.Patamu hapo labda aue mmoja hapo kati kati ya fred au tommy ndo pogba acheze ingawa sidhani kama atacheza mfumo huu kila mechi maana itamaanisha tunacheza bila no 7 wala 11 sasa ndugu sancho na Rashford kuwa wanatokea benchi kila mechi ni utata hawawezi kubali.
Shida ni Ole ataendelea na huu mfumo? Na pia upande wa bissaka inabidi acheze beki mzuri wa kupandisha team.3-5-2...
United tumemtaka Conte,Ole akaona isiwe shida..amemcopy Conte fasta.
3-5-2 ina maana Sancho,Amad,Pellistri watafute la kufanya..kama ni kweli Ole atastick na hii fomesheni
Shaw na AWB je wanaweza kucheza kama Wing backs effeciently?.
========
De Gea
Lindelof Maguire Varane
AWB McFred Bruno Shaw
Ronaldo Cavani
=======
Dalot yupo..mechi nyepesi nyepesi acheze hiyo right wing back..Though inabidi aimprove sana..mechi ile ya Westham ya EFL alicheza utopolo wa ajabu kabisa.Shida ni Ole ataendelea na huu mfumo? Na pia upande wa bissaka inabidi acheze beki mzuri wa kupandisha team.
AWB ameimprove sana japo bado kuna watu wanaona hamna kitu..ila mimi naona jamaa kabadilika sio kama zamani alikuwa hawezi hata kumpita mtu na mpira.Binafsi naona kama wan bisaka anajitajidi kuimprove wazee ....ule uzoba zoba kama unamtoka anajitahidi kuenjoy football ..
Itategemea anayeanza ni nani, ss namba yako anaanza cr7 au Cavani utakataa au?Patamu hapo labda aue mmoja hapo kati kati ya fred au tommy ndo pogba acheze ingawa sidhani kama atacheza mfumo huu kila mechi maana itamaanisha tunacheza bila no 7 wala 11 sasa ndugu sancho na Rashford kuwa wanatokea benchi kila mechi ni utata hawawezi kubali.
Tulimwambia akitaka matokeo aachane na 4 2 3 1.3-5-2...
United tumemtaka Conte,Ole akaona isiwe shida..amemcopy Conte fasta.
3-5-2 ina maana Sancho,Amad,Pellistri watafute la kufanya..kama ni kweli Ole atastick na hii fomesheni
Shaw na AWB je wanaweza kucheza kama Wing backs efficiently?.
========
De Gea
Lindelof Maguire Varane
AWB McFred Bruno Shaw
Ronaldo Cavani
=======
Si ndiyo hapo.Yani tuanze biashara ya kutaka kuwaridhisha akina sancho na ford? Kama mfumo umekubali na matokeo yanaoneka watokeee benchi tu.
Kwani ford kaanza misimu mingapi?
Hapo ndio Dalot anapoingia! Japo sio mzuri kama bissaka kwenye kulinda ila kwenye kushambulia yuko njema kiasi chake.Shida ni Ole ataendelea na huu mfumo? Na pia upande wa bissaka inabidi acheze beki mzuri wa kupandisha team.
Kumbe wanahujumu timu hao yaan wanashangilia wakifungwaBruno anampenda sana
Ronaldo yani hata ikitokea Ronaldo kafungwa basi anavyoshangilia utafikiri kafungwa yeye,.
Sikuizi naona akifika box atahangaika kumtafuta Cr7 hata hata kama karibu yake kuna raia mwingine, napenda uzalendo wao.

Cavani na CR7 huu muunganiko una shughuli ya kibabe sana. Ole kama ni mjanja ni wakati wa kufanya special training kwa Shaw na Bissaka kupiga cross za utosi ili ku-levarage uwepo wa Cristiano na Ed ktk box kwa wakati mmoja wote hawa wanajua sana kufunga kwa mipira ya vichwa.Itategemea anayeanza ni nani, ss namba yako anaanza cr7 au Cavani utakataa au?
Typing errors mkuu, nilimaanisha "wakifunga"Kumbe wanahujumu timu hao yaan wanashangilia wakifungwa![]()