Kitambi chakufutia tachi
JF-Expert Member
- Jun 16, 2019
- 1,081
- 2,604
TUNAHENDEREA KURARA.
Jana ili kuwa siku mbaya sana kwangu SIMBA SC &MAN UTD FC.
OLE OUT.
DIDIER GOMES DA ROSA OUT.
TUNAHENDEREA KURARA.
Kwa tulipofika mi pia nimenyoosha mikono mkuu, I hope tu kuna succession plan na sio kukurupuka.
Kipi ulichokuwa unakiona mwanzo sasa hukioni au kimebadilika.Kwa tulipofika mi pia nimenyoosha mikono mkuu, I hope tu kuna succession plan na sio kukurupuka.
Bado mkuu naamini mpaka msimu ulioisha alikuwa mtu sahihi,Kipi ulichokuwa unakiona mwanzo sasa hukioni au kimebadilika.
Yeye anakwambia "we're too close to give up"😂😂😂🙌Kwa tulipofika mi pia nimenyoosha mikono mkuu, I hope tu kuna succession plan na sio kukurupuka.
Huyu jamaa ni muuaji yan anajifanya hajui kwamba tume give up kitambo tuYeye anakwambia "we're too close to give up"![]()
December hata haijafika lkn tyr hatupo kwenye mbio za ubingwa. Mapema yote hii tunaanza kuitafuta top fourHuyu jamaa ni muuaji yan anajifanya hajui kwamba tume give up kitambo tu
Nakubaliana na wewe..Rashford,Ronaldo,Greenwood,Fernandes wote hawa wanajogi tu uwanjani..ukicheza na timu kama liverpool inabidi ubane spaces na ukabe kwa umakini wa hali ya juu.Bado mkuu naamini mpaka msimu ulioisha alikuwa mtu sahihi,
-kulikuwa na improvements kimatokeo misimu yote miwili
-usajili mzuri ku cover viraka vyote, sasa hivi ukitoa DM kikosi chetu kina watu kila idara.
-Team ilikuwa ni moja na sijawahi kusikia Dressing room problems.
Ila kwa sasa kuna matatizo makubwa hasa kwenye Kuhandle ma Super star kama Ronaldo na suala zima la pressing. Zamani mechi kama ya Jana tungecheza 3-5-2 yetu na kina James, tungejaza wachezaji wengi nyuma na kupata point 1 ama 3, ila sasa hivi kila tukijaribu kupanga kikosi cha kushambulia tunapitika kirahisi sana.
Mimi mwenyewe sina confidence kama anaweza kuturn around hilo suala, kama anajiona hawezi ni vyema succession plan ifanyike mapema, na sababu naamini Ole anaipenda Man U kutakuwa na Mutual Termination.
Wanamsakama Ole utazani yeye wa kwanza, ndugu tuwe wavumilivu mambo mazuri yanakuja chini ya Ole.Mbona kawaida tuView attachment 1986201
Ronaldo anahusika vipi na timu kucheza angalau mpira mzuri? hebu mtuambie nyie mnaompa lawama Ronaldo yani yeye akiwepo uwanjani anazuia timu kupiga hata pasi 10 nzuri au yeye anazuia mabeki kukaba vizuri?Ukiangalia kwa jicho la tatu.. Ronaldo n mzigo aiseee.. buy ya Ronaldo haikutakiwa... Nazid kurudia kama Klopp alipewa muda why not Ole?
hatimayeKwa tulipofika mi pia nimenyoosha mikono mkuu, I hope tu kuna succession plan na sio kukurupuka.
Mkuuu nimekuambia uwe unaangalia Ronaldo akicheza kwa jicho la tatu.. Ronaldo ni mzigo kwenye team.. tena mzigo mkubwa.. kama jana amefanya nn cha maana... Ronaldo games zake n za Norwich City.. Newcastle City.. Burnley.. etcRonaldo anahusika vipi na timu kucheza angalau mpira mzuri? hebu mtuambie nyie mnaompa lawama Ronaldo yani yeye akiwepo uwanjani anazuia timu kupiga hata pasi 10 nzuri au yeye anazuia mabeki kukaba vizuri?