Mervin
JF-Expert Member
- Sep 28, 2021
- 1,916
- 2,638
Kuna nini
Kuna nini
Hadi sasa tumepata kauli 2 toka kwa DDG na PP ambazo zinamtuhumu OLE indirectly.David de Gea: "We play like kids."
Nikiangalia Liverpool walivyokuwa wanapata magoli yao unaona kabisa hii timu huwa inaenda mazoezini kupasha joto, na kuondoa hangover ya bia na mapenziyule mzee huenda alikusudia kutukejeli na si kutusifia.
Nia yake ilikuwa kutukejeli sahihiyule mzee huenda alikusudia kutukejeli na si kutusifia.
Binafsi naona kumuuza Daniel James kumeondoa kitu fulani kikosini kwetutunaanza lini kujadili sajili zilizofanywa na ole gunnar solskjaer.
- daniel james
- harry maguire
- wan bissaka
- donny van de beek
- bruno fernandez
Tatizo la ushindi wa timu yetu kuwategemea baadhi ya nyota wameamkaje lilionekana mapema likasemwa ila kuna watu wakadai tumpe credit kama ambavyo tunamponda siku timu ikifanya vibaya.ameyataka mwenyewe, muda mwingi alitegemea miujiza ya bruno fernandez tokea alipomsajili
Parody account
Mkuu Hujambo lakiniLiverpool wametuheshimu sana baada ya kutupiga mkono walikuwa wanauwezo wa kutuchomoa kwenye kale ka bus uchwara tulikoweka na kutuchapa hata 8 baada ya pogba kupewa umeme kifupi hamna kocha hapa
Kadi ya pogba siwezi kumlaumu kocha bado anabeba lawama kwa ile sub ya kipuuzi ushaliwa nne kipind cha kwanza unataka nn kwa mtu alikuzidi kila kitu?
Mm ningetia bailly na dalot tu



Karibu tusherekee tano day...Hodiii humuuu...naruhusiwa kuingia?hodii tena
Ndio ndioo mpira wa kupeana mda uliisha na fergi now ni era ya biashara huwezi kuleta matokeo tuachie timu process miaka mi5 shabashi.
Na sio kufungwa tu
Man u kapata spanking kutoka kwa livapul
Huyu ole kama anatuheshimu mashabiki aondoke tu yeye mwenyewe
