Manchester United (Red Devils) | Special Thread

Bila mmasai ole sendeka kufurushwa
Tusahau kabisa kuhusu

Top four epl na ucl tutatolewa soon baada ya kuvuka hatua ya makundi.
 
Next fixture epl ...

Vs Spurs

Vs man city

Unahisi mpaka hizo game united atakuwa nafasi ya ngapi epl ....

Na atatumia muda gani kufika top 4 Tena ....
 
Ukiangalia kwa jicho la tatu.. Ronaldo n mzigo aiseee.. buy ya Ronaldo haikutakiwa... Nazid kurudia kama Klopp alipewa muda why not Ole?
 
Nyie ni matakataka tena ya kufungwa jiwe na kutupwa baharini hamna maana kabisa.
Nyie matakataka Jana nimewashabikia kumbe hambebeki nyie ni timu iliyooza.
Sasa kila mtu ashinde mechi zake tusijuane tena ..
Ninyi ni manyumbu na unyumbu utabaki milele kwenye vichwa vyenu pamoja na kocha wenu Olesendeka japo tuendelee kumpa muda kidogo maana anaupiga mwingi sana.
Mnabamizwa tena mbele ya CR7 bao tano bila Degea ni zaidi ya Shati.
Rudisheni Rio Ferdinand, Garry Neville, na Van De Saa mnaweza kupata hata draw.
Kila la kheri Olesendeka.
 
Kumbe we KAHABA ndie ulietuletea nuksi toka lin we NGURUWE ukashabikia MAN UTD?
GGMU OLE OUT.
 
Unaona mbali sana kaka tumpe mda, yeye siye wa kwanza kupigwa tano, hata babu alipigwa sita na City OT, wampe muda ili tufurahi wote.
 
Pogba kiwango kimeshuka au anafanya makusudi kucheza kawaida.Kuna mechi anakaza nyingine anacheza bora liende.Ila hili inategemea na uwezo wa kocha anakimudu vip kikosi chake.uchezaji mbovu wa timu na nidhamu mbovu ya wachezaji wakulaumiwa ni kocha.Ole Man U ni kubwa kuliko uwezo wake.Msimu huu ligi ni ngumu zaidi kuliko msimu uliopita kwahiyo kama bado atakuwepo Man U hajipange sawasawa.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…