Manchester United (Red Devils) | Special Thread

Manchester United (Red Devils) | Special Thread

Ole is an idiot coach pogba unamuwekaje benchi game kama hii ?Manchester United spend a lot of Money to keep Sancho on the bench , nimeamini hakuna utofauti wa Ole na Arteta even Van de beek alikuwa na kiwango bora kabisa leo anaishia bench
pogba hakabi, hawezi jaza pressing players zaidi maana kuna bruno, greenwood, rashford, Ronaldo sasa Pogba alivo mzito ataeza kaba mtu kweli ulioa avyoanza na matic tukagongwa nne safi na Leicester... apo anaingiza pogba daika ya 60 huko azidishe playmaking
 
pogba hakabi, hawezi jaza pressing players zaidi maana kuna bruno, greenwood, rashford, Ronaldo sasa Pogba alivo mzito ataeza kaba mtu kweli ulioa avyoanza na matic tukagongwa nne safi na Leicester... apo anaingiza pogba daika ya 60 huko azidishe playmaking
Kwenye national team huwa hakabi?
 
Back
Top Bottom