Manchester United (Red Devils) | Special Thread

Manchester United (Red Devils) | Special Thread

Liverpool wametuheshimu sana baada ya kutupiga mkono walikuwa wanauwezo wa kutuchomoa kwenye kale ka bus uchwara tulikoweka na kutuchapa hata 8 baada ya pogba kupewa umeme kifupi hamna kocha hapa

Kadi ya pogba siwezi kumlaumu kocha bado anabeba lawama kwa ile sub ya kipuuzi ushaliwa nne kipind cha kwanza unataka nn kwa mtu alikuzidi kila kitu?

Mm ningetia bailly na dalot tu
 
Liverpool wametuheshimu sana baada ya kutupiga mkono walikuwa wanauwezo wa kutuchomoa kwenye kale ka bus uchwara tulikoweka na kutuchapa hata 8 baada ya pogba kupewa umeme kifupi hamna kocha hapa

Kadi ya pogba siwezi kumlaumu kocha bado anabeba lawama kwa ile sub ya kipuuzi ushaliwa nne kipind cha kwanza unataka nn kwa mtu alikuzidi kila kitu?

Mm ningetia bailly na dalot tu
Kocha tatizo nyie mashabiki wa Manu, kama hamuamini muacheni ole hadi mech totemuone aibu mtakayopata.Wiki ijayo msiposhinda mnaingia below 10 mark mi words
 
Liverpool wametuheshimu sana baada ya kutupiga mkono walikuwa wanauwezo wa kutuchomoa kwenye kale ka bus uchwara tulikoweka na kutuchapa hata 8 baada ya pogba kupewa umeme kifupi hamna kocha hapa

Kadi ya pogba siwezi kumlaumu kocha bado anabeba lawama kwa ile sub ya kipuuzi ushaliwa nne kipind cha kwanza unataka nn kwa mtu alikuzidi kila kitu?

Mm ningetia bailly na dalot tu
Kilichobaki ni kesho tukutane na breaking news otherwise matokeo haya yataendelea kutuandama sana.

Fikiria kama Leceister anatupiga nne wengine hawa ilikuwa ni zaidi.
Team ipo exposed sana tena sana sijui kama huwa wanafanya mazoezi.
 
Pigaaaa mbwa hawa ...


Kudadekii pigaaaa miti haya mashetani mpakaaa yabwekeeee bweeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeee



Piga ukuni hawa nyumbuuuuu mpaka zijambeeeee mbwiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiii
 
Liverpool wametuheshimu sana baada ya kutupiga mkono walikuwa wanauwezo wa kutuchomoa kwenye kale ka bus uchwara tulikoweka na kutuchapa hata 8 baada ya pogba kupewa umeme kifupi hamna kocha hapa

Kadi ya pogba siwezi kumlaumu kocha bado anabeba lawama kwa ile sub ya kipuuzi ushaliwa nne kipind cha kwanza unataka nn kwa mtu alikuzidi kila kitu?

Mm ningetia bailly na dalot tu
Hata usemeje game limeshaisha 5 bila
 
Kocha tatizo nyie mashabiki wa Manu, kama hamuamini muacheni ole hadi mech totemuone aibu mtakayopata.Wiki ijayo msiposhinda mnaingia below 10 mark mi words
Mkuu shida ni hayo mazungu yaliyopo kwenye board sijui huwa hayaangalii mpira?
 
Back
Top Bottom