SteveMollel
JF-Expert Member
- Jul 12, 2015
- 8,803
- 25,442
Mbona hamwongei? ... Mbona hamchekii? 








Afukuzwe unamlipa wewe?hafukuzwi mtu hapaMuda wa ole kufukuzwa umefika. OLE OUT
SIO KWA AIBU HII SHUAINI ZAKE
Ashikwe mpk mpira uishe 😂😂Shocking scenes at Old Trafford as stewards stop the Man Utd fans from leaving the stadium.View attachment 1985654
Kocha tatizo nyie mashabiki wa Manu, kama hamuamini muacheni ole hadi mech totemuone aibu mtakayopata.Wiki ijayo msiposhinda mnaingia below 10 mark mi wordsLiverpool wametuheshimu sana baada ya kutupiga mkono walikuwa wanauwezo wa kutuchomoa kwenye kale ka bus uchwara tulikoweka na kutuchapa hata 8 baada ya pogba kupewa umeme kifupi hamna kocha hapa
Kadi ya pogba siwezi kumlaumu kocha bado anabeba lawama kwa ile sub ya kipuuzi ushaliwa nne kipind cha kwanza unataka nn kwa mtu alikuzidi kila kitu?
Mm ningetia bailly na dalot tu
Kilichobaki ni kesho tukutane na breaking news otherwise matokeo haya yataendelea kutuandama sana.Liverpool wametuheshimu sana baada ya kutupiga mkono walikuwa wanauwezo wa kutuchomoa kwenye kale ka bus uchwara tulikoweka na kutuchapa hata 8 baada ya pogba kupewa umeme kifupi hamna kocha hapa
Kadi ya pogba siwezi kumlaumu kocha bado anabeba lawama kwa ile sub ya kipuuzi ushaliwa nne kipind cha kwanza unataka nn kwa mtu alikuzidi kila kitu?
Mm ningetia bailly na dalot tu
Yea
Hata usemeje game limeshaisha 5 bilaLiverpool wametuheshimu sana baada ya kutupiga mkono walikuwa wanauwezo wa kutuchomoa kwenye kale ka bus uchwara tulikoweka na kutuchapa hata 8 baada ya pogba kupewa umeme kifupi hamna kocha hapa
Kadi ya pogba siwezi kumlaumu kocha bado anabeba lawama kwa ile sub ya kipuuzi ushaliwa nne kipind cha kwanza unataka nn kwa mtu alikuzidi kila kitu?
Mm ningetia bailly na dalot tu
Mkuu shida ni hayo mazungu yaliyopo kwenye board sijui huwa hayaangalii mpira?Kocha tatizo nyie mashabiki wa Manu, kama hamuamini muacheni ole hadi mech totemuone aibu mtakayopata.Wiki ijayo msiposhinda mnaingia below 10 mark mi words
Bladfaken wallahUNACHUKUA KOCHA MALMO AJE KUFUNDISHA MAN U
BLADFAKEN