Manchester United (Red Devils) | Special Thread

Bisaka unamwonea aksee. Leo ndio kacheza vizuri kuliko mchezaji yeyote wa united.
Shida ni Ole hana mbinu.
 
Haya tuendelee tu kumpa muda,kila siku tunampa mtu muda tu mwishowe itafika kiama...
 
mwaka jana nyakati kama hizi tulikuwa na ndugu yetu anaitwa chelsea tuliyefanana naye mfano wa kurwa na doto. leo chelsea ametoka kubeba ubingwa wa ulaya, pia anaelekea kubeba ubingwa wa dunia kwa vilabu, si hivyo tu pia amejitambulisha kama ni mgombaniaji wa ubingwa wa uingereza.
 
eti ka bus uchwara
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…