Mac Alpho
JF-Expert Member
- Aug 5, 2019
- 14,000
- 27,974
We endelea kuwaita wenzako plastic fans, wakati hapo ulipo hutambuliki na club..!Unaumia umepoteza ela au unaumia man u haijafungwa?
We endelea kuwaita wenzako plastic fans, wakati hapo ulipo hutambuliki na club..!Unaumia umepoteza ela au unaumia man u haijafungwa?
Bado mzee timu haina Kocha Kabisa
Ole analimited tactical ceiling ila haimfanyi kuwa kocha mbaya, Mistake aliyoifanya ni kucreate squad imbalance, thats Why mechi ya jana pogba was dropped, hata mechi ya liverpool ni fred na Mc tominay ndio wanaprobability kubwa ya kuanza, it is impossible to win the league with pogba and Ronaldo starting, im sure united will not extend pogba contractBado mzee timu haina Kocha Kabisa
Hovyo Sana
Draw au kuwin.Vijana wote ni wazima.Jumapili msikimbie mechi
Michezo 12 mfululizo hapo OT bila cleansheet.mangwea kepteni wa dunia na mabeki wenzie wa kosi la dunia katika picha 1View attachment 1981603
Sent using motorola 78
Watu wa kubet ni kuweka to both team to score na kwenda kwa wakala kutoa mpunga.Michezo 12 mfululizo hapo OT bila cleansheet.
Magwaya kazini.
Kuwapishanisha na pogba ina maana sana kuna game pogba aanze bruno atokee bench au kutocheza kabisa ili pogba na DVB wacheze hapo anaweza kuwamuduBruno inabidi awe anadrop chini kulink na kina McFred..Second half jana alifanya hivyo na balance ilipatikana.
Kwa kocha mwenye akili hiki kikosi kingepiga mpira mkubwa sana..
Pia tujaribu na Fred Vdb na Fernandes.. Fred hachoki na kupotea mapema kama McTominay..tujaribu hii combination maybe inaweza kuleta matokeo chanya.Kuwapishanisha na pogba ina maana sana kuna game pogba aanze bruno atokee bench au kutocheza kabisa ili pogba na DVB wacheze hapo anaweza kuwamudu
Kweli mkuuPia tujaribu na Fred Vdb na Fernandes.. Fred hachoki na kupotea mapema kama McTominay..tujaribu hii combination maybe inaweza kuleta matokeo chanya.
Sent using Jamii Forums mobile app