Manchester United (Red Devils) | Special Thread

Manchester United (Red Devils) | Special Thread

Beki la DUNIA
IMG_20211024_191105_517.jpg
 
Kumbe Man U na Arsenal wako sawa, yaani wote wana 14points. Title contender na relegation team zina point sawa!!
 
Hii timu inatia aibu sana, kuanzia leo sitashabikia hii timu mpaka kocha aondoke mana haiwezekani una kikosi kama hiki na bado hueleweki unacheza nn, so mashabiki wa man u kwaherini mpk huyu mbwa wa double pivot akiondoka.
Nlishakwambia mkuu hamia arsenal lakini unatuchkulia poa. Kuanzia msimu wa 2023/2024 Arsenal itakuwa ni kushinda makombe tu shauri yako
 
Back
Top Bottom