

Mkuu mbona unacheka
umekula maharage ya wipiMimi naona arteta anamzidi ujuzi ole ,....
Huna unalolijua kuhusu football kaa pembeni mzeeumekula maharage ya wipi





mbona unajikusanyia kundi kwa maneno kama (tunaoangalia) simama wewe kama wewe ulete takwimu zinazothibitisha kuwa arteta ni bora kuliko ole sio unabwabwajaHuna unalolijua kuhusu football kaa pembeni mzee
Sijui Kama unaangaliaga mpira au unasubili live score ....
Note : hii ni kwa watu tunaoangalia mpira na kujua kuchambua Mambo tu
Nimesema arteta anaujuzi ....mbona unajikusanyia kundi kwa maneno kama (tunaoangalia) simama wewe kama wewe ulete takwimu zinazothibitisha kuwa arteta ni bora kuliko ole sio unabwabwaja
Hii hata Mimi ilinifirisha sana nikakosa jibujana ilikuwa ni siku ya kuzaliwa kwa nemanja vidic (ametimiza miaka 40), cha ajabu siku yake ya kuzaliwa imesongeshwa zaidi na mjadala unaomlinganisha dhidi ya virgil van dijk kwenye mitandao ya jamii si ajabu mpaka muda huu neno vidic limeendelea kutrends kwenye mtandao wa twitter.
Hii mitandao ya kijamii licha ya kutuunganisha kwetu pia imezalisha uraibu wa kubishana mambo yasiopaswa kuwekewa ubishani, yaani mchezaji aliyecheza vizuri kwa msimu mmoja analinganishwa na.....................licha ya hivyo huo msimu wake mmoja unaotumiwa kama reference aliocheza vizuri bado kitakwimu ameachwa kwa mbali sana na msimu mmoja tu bora wa mchezaji anayelinganishwa naye.
View attachment 1984158
kuna siku nilitembea page ya shaffih dauda nikakutana na huu upumbavu, wakati huko alikocopy muandishi wa hii makala alishaandika takwimu za patrick vieira hazina usahihi kwa sababu opta haikuwepo mwaka 2003, alivyokuwa mjinga naye akaanzisha mjadala bila ya kuweka indhari hiyo.
watoto wa dotcom wakaanza kumnajisi patrick vieira, eti vieira amefanya tackles 50 (labda vieira alikuwa na mguu mmoja)
![]()
NakaziaSiwezi kukupinga sababu tunaona tofauti mkuu.
Combination yeyote ya mid akiwepo na tominay team huwa inakuwa stable kuliko comb nyingine.
Mapafu ya mbwaA Fred 17Fred ndo mtu mwenye uwezo zaidi as of now kwenye midfield yetu kwenye eneo la chini..na anacheza eneo lisilo lake..Fred alikuwa CM anayecheza juu kidogo.
Yuko sharp na anakaba kweli kushinda McTominay..
Tatizo lake kubwa kuna muda anapoteza battles au analeta errors ambazo zinaleta hatari.
Ole kibarua chake kikiwa hatarini hawezi kumuacha Fred nje..ndo mtu wa kwanza kuingia kwenye lineup yake i think.
Atajilinda saana na kutumia kaunta ku attack na speed za kina greenwood,Rashford na kina SanchoYani man saizi kila tukienda uwanjani kabisa inafahamika tunalusu goli sijui leo tutaruhusu goal ngapi.
Sosha kapoteza game nyingi home Kuliko AwaySema kufungwa na Liverpool nyumbani inauma sana.
Sancho ana speed gan mzee .Atajilinda saana na kutumia kaunta ku attack na speed za kina greenwood,Rashford na kina Sancho



