Pain killer
JF-Expert Member
- Aug 15, 2017
- 14,360
- 21,713
Cheki huyu falaaKesho
Man Utd 2 Liverpool 1
Kati ya hawa, watafunga magoli
Rashford
Ronaldo
Fred




Cheki huyu falaaKesho
Man Utd 2 Liverpool 1
Kati ya hawa, watafunga magoli
Rashford
Ronaldo
Fred




Huo ni utabiri wake yeye.Ya Nini kumwambia ni fala.Hata Wewe unaweza kutoa utabiri wako Kwa unavyo fikiria. UkwEli tutaujua baada ya kipenga Cha mwishoo kupulizwa.Cheki huyu falaa![]()
Man utd 0- 4 LiverpoolHuo ni utabiri wake yeye.Ya Nini kumwambia ni fala.Hata Wewe unaweza kutoa utabiri wako Kwa unavyo fikiria. UkwEli tutaujua baada ya kipenga Cha mwishoo kupulizwa.
Hapo kwa Mictomin hauko sahihiPogba anapocheza na matic team huwa haina balance kabisa. Wote wapo slow na wanakabia nafasi zaidi hvyo kukaribisha opponents zaidi.
Watu wanamponda Mc tominay ila kimfumo jamaa ana accomodate midfield vizuri kuliko wote kina fred na matic.
Halafu tactically ole yupo chini sana huwa nashangaa watu wanao mtetea jamaa ni kama hana gameplan huwa anawaambia team tu wacheze matokeo yatakuja.
All in all ole bado hajaweza kupata output nzuri out of his team and curent formation anayotumia bado hutegemea individual perfomance zaidi.
Siwezi kukupinga sababu tunaona tofauti mkuu.
Katika MFD wenye kiwango duni pale United Mc Tominay ndio anaongoza.structurally Mc tominay is the only effective mid within ole's system, mchezaji unaweza kuwa WC ila huwezi kucomplete your roles kama Pogba at united.
Fred ndo mtu mwenye uwezo zaidi as of now kwenye midfield yetu kwenye eneo la chini..na anacheza eneo lisilo lake..Fred alikuwa CM anayecheza juu kidogo.Pogba anapocheza na matic team huwa haina balance kabisa. Wote wapo slow na wanakabia nafasi zaidi hvyo kukaribisha opponents zaidi.
Watu wanamponda Mc tominay ila kimfumo jamaa ana accomodate midfield vizuri kuliko wote kina fred na matic.
Halafu tactically ole yupo chini sana huwa nashangaa watu wanao mtetea jamaa ni kama hana gameplan huwa anawaambia team tu wacheze matokeo yatakuja.
All in all ole bado hajaweza kupata output nzuri out of his team and curent formation anayotumia bado hutegemea individual perfomance zaidi.
Ukweli mtupu..Katika MFD wenye kiwango duni pale United Mc Tominay ndio anaongoza.
Sent using Jamii Forums mobile app
Uyo Mictomin, anaweza kuperform vizuri mechi moja. Halafu mechi 10 akacheza ovyo.
bruno fernandez na kevin de bruyne wanalingana sana kitakwimu kwenye kipengele cha kupiga pasi sahihi (accuracy pass), tunayaona sana makosa ya bruno labda ni kwa sababu timu yetu haina utamaduni wa kumiliki mpira na hili ni tatizo la wachezaji walio wengi kikosini mwetu na hata kocha wetu ameonyesha kuridhisha na hii hali yetu (tujaribu kufuatilia mahojiano yake pindi anapomzungumzia bruno fernandez).Bruno Fernades hata Sporting alikuwa hivyo hivyo.
Rejea scouting report za dirisha kubwa la usajili zilionyesha Bruno anapoteza sana mipira.
Ukiangalia uchambuzi wa Daemusin kwa kutumia rejea mbalimbali amekuwa akiluzungumza mara kwa mara.
Kama Bruno asingekuwa na uwezo mkubwa wa kufunga na kutengeneza nafasi probably angekuwa the worst signing kikosini.
Mkuu kuretain possession na passing accuracy ni vitu viwili tofauti kabisa hata hivyo passing accuracy ya Bruno anazidiwa huwa inarange kwenye 67-75 hajawahi kuwa above hapo maana yake anazidiwa na wachezaji wengi sana kikosini kwa passing accuracy.Wewe unaongelea sporting mm naongelea man u, kipindi anasajiliwa tulisema ni master wa passes na tuliona, but leo amekuwa anapoteza mipira why? Alafu unasema kama angekuwa hatengenezi nafasi, yn ange, so hyo haiwezekani mkuu ni sentensi ambayo haipo.
Mkuu kuretain possession na passing accuracy ni vitu viwili tofauti kabisa hata hivyo passing accuracy ya Bruno anazidiwa huwa inarange kwenye 67-75 hajawahi kuwa above hapo maana yake anazidiwa na wachezaji wengi sana kikosini kwa passing accuracy.
Kinachombeba Bruno ni workrate, chances creation na conversion rate.
Vingine vyote Bruno ni mchezaji average kuliko hata Thomas Suchek wa Westham.

Limeisha hilo ila hizo points 3 mtazilipa zamu yenu ikifika, hamuwezi kupiga gape kupitia migongo ya wanaume kenge nyie.Nyie matakataka kesho mshinde.
Hahahaha angalia mtu anaoga bao ngapi huko ..sisi Chelsea timu mzima kasoro kipa tu ndio atupii goli. Ivyo nyie kesho kuleni zile kuku halafu mjipnge na mvua ya magoli.Limeisha hilo ila hizo points 3 mtazilipa zamu yenu ikifika, hamuwezi kupiga gape kupitia migongo ya wanaume kenge nyie.