Manchester United (Red Devils) | Special Thread

Manchester United (Red Devils) | Special Thread

Wanangu Mpira mna uchukuliaje hasa mpira huu wa mashindano ya ulaya ? Ivi mnafatilia haya mashindano kweli kuanzia games hadi matokeo?

hawa vila real huko spain unajua wakoje ....

Yani timu imepata matokeo tena kwa sub za kocha lakini bado mnalaumu,, asinge fanya sub mngelaumu ,angetoa sare mngelaumua ,angEfungwa Mngelaumu kashinda pia mNaLaumu?

Fan wa united kuna mda mnazingua knowledge ya mpira ndogO sana miongoni mwenU

WEng Wenu mnadhan Football ni kama mazingaombwe ...

No any excuses.. Ole ni Trash
 
We Jamaa ebu taratibu basi, yani unataka afukuzwe ili sisi Mashabiki kindakindaki tupoteze furaha tukiwa tunakuja kujichotea tu point 3 Old Trafford kwa kuwaajiri makocha wataalamu kama Zizou na Conte ili muwe vizuri kiushindani

Sent from my CPH2185 using JamiiForums mobile app
Huyo kocha wao anajua kuwapoza Sana...game inayokuja ya ligi atashinda tena ...
 
Nimekuja kugundua kuwa mashabiki wa man utd ni vilaza ,empty headed kabisa ...!

Wanachoangalia ni matokeo ya siku moja ,sio project ya timu ,


Mnasafari kubwa Sana nyie kenge walahi
 
Tuliomba wing ya kulia na ndiyo ulikuwa wimbo wetu huo, cha kushangaza hiyo wing ya kulia imekuja na haichezi wing ya kulia, hilo pekee linatosha kugundua ubabaishaji wa kocha.
Mkuu matatizo ya uwanjani ya klabu yetu pendwa hayajawahi kuisha.
ataanza beki
atafuata winga
atakuja forward
atakuja kiungo
Yaani ilimradi Ole apate pa kujifichia udhaifu wake
 
Jana tumeshinda dk za mwisho lakini bado team haina performance kabisa ni kama bahati tu tukashinda.
Kinacho nishangaza ni kwamba mpk mimi mmatumbi wa kwa njeka naona team haichezi sasa wale wazungu wataalamu wa mpira pale Man u hawalioni hili?

Mbona hakuna mabadiliko kila siku ni vilevile tu au wanataka mpk tupungue kilo huku mtaani?
 
Hivi GHANI mzee wa MANJESTA yuko wapi

MAPEPO UNITED MAPEPO UNITED
MAPEPO UNITED MAPEPO UNITED
MAPEPO UNITED MAPEPO UNITED
MAPEPO UNITED MAPEPO UNITED


Jamaa huwa anajaza page nzima ya comment yake, wallahi Mungu fundi
 
Tuliomba wing ya kulia na ndiyo ulikuwa wimbo wetu huo, cha kushangaza hiyo wing ya kulia imekuja na haichezi wing ya kulia, hilo pekee linatosha kugundua ubabaishaji wa kocha.
Subiri rash arudi mkuu,
Saiv akicheza kulia inalazimisha martial kucheza kushoto na Greenwood kuwa nje.
Ukipiga hesabu zako mwenyewe utaona ni bora acheze kushoto greenwood kulia ( kuliko kuanza na Tony)
 
Back
Top Bottom