Mashabiki uchwara wazee wa mihemko washaanza kumuona ole kama mungu, kisa mn city imefungwa na psg tuliowahi kuwafunga na pia Chelsea imefungwa na juve tuliowahi kuwafunga (acheni mihemko)
Overall, ni kwamba ole kimbinu ni zero brain, suala la kushinda mechi moja moja halitatufikisha popote tutaishia kuwa washindani wa top four na kujipa matumaini mapya kila msimu
Timu imesajili
Timu ina pesa
Timu ina fan base kubwa sana
Leo unakurupuka kuja kuniambia kuwa mpira sio mazingaombwe et niridhike na ushindi wa mechi moja moja tena kwa performance mbovu namna ile?
Tunahitaji makombe
Tunahitaji makombe
Tunahitaji makombe
Bila consistency ni kazi bure
Ole hatatufikisha popote