Rutashubanyuma
JF-Expert Member
- Sep 24, 2010
- 219,468
- 911,174
Bosi alia na maamuzi tata ya VAR adai goli la Villa lilikuwa batili
Mendy mpaka sasa kacheza mechi 61 karuhusu goal 31 tu na kapata clean sheets 29 kwenye ligi ya Mabingwa ya msimu uliopita kwenye game 10 karuhusu goal 3 tu alafu eti umfananishe na huyo kweli?Hafiki kwa Emi, jamaa ni fundi,,,refer copa America alivyokichafua babaa
Naamini magazeti ya huko yameipuuzia hii habariJana alikuwa talkSPORT katamka wazi wazi ule mchezo tulifungwa kwa ubovu wa kocha na sio sbb nyingine yoyote ile. Akashauri nafasi yake ichukuliwe na Conte au Zidane. Na akatolea mfano kuwa MUFC kwa sasa ipo ktk kipindi cha Lampard v Chelsea to Tuchel switch.
Udhaifu wa Ole jana aliweka mambo mawili;
- Alimuingiza Ed cavani mchezaji asiye na match fitness muda unaohitaji kupata matokeo wakati alikuwa na Jesse Lingard na Jadon Sancho hawa wote walikuwa ktk competitive tempo compared to Ed ambaye hajacheza mchezo wowote ule wa ushindani msimu huu. It was a technical blunder.
- Harry Maguire alicheza kwa dakika 10 akiwa anachechemea. Anasema kocha anajielewa hawezi kumuacha uwanjani mchezaji ambaye hayuko sawa. Hapa ni kama timu inacheza pungufu.
Huyu anaweza.CR7 ana mahesabu ya kuwa kocha wa Manutd baada ya kumaliza kucheza kabumbuView attachment 1953927
Kwanza ilikuwaje Bruno kupiga penalty wkt cr7 yupo, mm ckuangalia hii mechi.Sitaacha kupiga penati - Bruno Fernández aja juuView attachment 1953931
Hata conte hatoshi, hii timu apewe kichaa Simeone wa Atletico de Madrid.Kuna watu wanapendekeza zidane awe kocha wa man united
mimi kwa ninavyomjua zidane uwezo wake ni mdogo sana kwa soka la England
Madrid aliikuta tu timu imetulia angalia alivyoludi kwa mara ya pili baada ya kikosi cha dhahabu kupotea alivyoboronga mimi ningependa kocha awe conte maana anauzoefu na vikosi vya kawaida.
Kwanini asishinde subiri mshushwe kabisa.Hadi Arsenal anashida london derby??!!..daah!!
Kwanza ilikuwaje Bruno kupiga penalty wkt cr7 yupo, mm ckuangalia hii mechi.
Zizo ajawai fundisha timu ya kawaida tukajua uwezo wake alivyoludi alifanya maajabu gani kwani.Aliboronga aliporudi mara ya pili?????? Dah, mkuu unafahamu chochote kuhusu 2nd cameo ya Zizzou pale Madrid?
Huyu jamaa namkubali sana.Hata conte hatoshi, hii timu apewe kichaa Simeone wa Atletico de Madrid.
Atakuambia kachukua la liga wakati aliopambana nao ule msimu wote walikua choka mbaya....Zizo ajawai fundisha timu ya kawaida tukajua uwezo wake alivyoludi alifanya maajabu gani kwani.