Bado hajafukuzwa tu
Mafuta na maji vimejitenga rasmi leo kwenye mbio za ubingwa


Narudia tena hatafukuzwa tu bali tunaye hadi 2023Narudia tena bado hajafukuzwa tu

Hama haraka sana kaka, ugali sato wa kubanikwa na mlenda ulivyo mtamu vile unaanzaje kufa kizembe hivyo nakati Mwantesa Utd si kabilaHii team yangu kutengeneza mashambulizi ya nguvu haiwezi kabisa... OGS hata kusoma tu mchezo unaendaje, afanye nini, atoe nani, abadili nini ili timu ipate matokeo shida... Yeye akishapanga first eleven ndio basi daaah... Hii team itakuja kuniua hii kmmke...

Hawa wote wapumbavu..watabaki kusema United inabidi imsajili Declan Rice ili imfunge Aston Villa.Evra ndio legend pekee aliyefungua mdomo juu ya uwezo mdogo wa Ole last season... Nasubiri kina Neville, Kean, na Scholes wataongea nini kuanzia sasa.
Kiufupi, Ole Sabaya uwezo umeishia hapa. Afurushwe kesho asubuhi kabla sijaenda jogging
Weweeee...! Yani umejikalia tu hapo kama kiporo cha ugali unaanza kutukandia beki letu na Kapteni la dunia "Magure" ?Shaw was poor..bora ametoka
Bissaka+Fred trash as usual.
Maguire...Shamble again..kila mechi lazima atoe blunder..captain gani huyu?
Anyway..we better win the 2nd half.

Hapa inabidi Brentford wafanye mambo mji utulie kidogo.Pole mangi.






Bruno amekosa penalty makusudi wakuu, ile distance kwa mbutuo huo sio kweli......Ole october mwisho kuwa kocha wa man u
Kwa kweli kuliko kucheki live bora usikilize audioSipati picha mkikutana na Moto wa
Chelsea
Man City
Liverpool ....
Mtajuta kuingia uwanjan![]()
Eti Zidane anapiga jalambaNani apewe timu?
Mkuu ukiangalia body language ya mechi ya leo na Bruno kukosa penalty vile hauhisi kitu chochote?
Kumbe ni wapumbavu hao wachezaji wenuOle alishasema yeye haongopi kufukuzwa...na wachezaji 100% hawamtaki kocha...na ronaldo ni kiongozi wa hlo wana ajenda ya siri kam ilivokuw chelsea enzi za kina Terry, hazard n.k na ole lzm atoke amini amini nakwambia....Greenwood wa moto sn hawez fanya haya, uchoyo wote ni sehemu ya ajenda yao.
Kuna haja ya kuniuliza hili swali kweli? Jombaa, kuna makocha kibao mkurugenzi wa ufundi akinyanyua simu yake kesho asubuhi watakuwa wamewasili uwanja wa ndege wa Manchester tayari kwa kuanza kazi.Kwahiyo unashauri nani awe mbadala wa Ole?