Mac Alpho
JF-Expert Member
- Aug 5, 2019
- 14,000
- 27,974
Conte yupo mkuu, na ni mtaalamu sana wa vikosi vilivyojaa master.Huyu Ole ni kama vile anawaogopa wachezaji, mbinu zake ni zilezile zimekaririka,hii ni mechi ya 3 nachunguza kila team inayokuja kuchezwa na UTD inakuja na mfumo wake double pivot ila yeye hashtuki. Anzia mechi ya Young boys mpaka hii ya jana makocha walimkabili Ole kwa huohuo mfumo wake wa double pivot kitu ambacho hawakifanyi kwenye mechi zao nyingine (wanacheza huo mfumo wakikutana na OLE tu).Tulikosea sana kumuacha ancelloti aende madrid

