Manchester United (Red Devils) | Special Thread

Manchester United (Red Devils) | Special Thread

Huyu Martial leo ni kama alitufanya kucheza pungufu kwa dakika zote.

Ila cha kushangaza katolewa Mata na Telles kaachwa the sleeping Martial.
substitution ya juan mata ilinikera sana, martial na jesse lingard ndio walipaswa kutoka.
baadhi ya nyakati kuwaelewa makocha unahitaji kuwa na degree ya uvumilivu
 
Ole ni zaidi ya utopolo

Screenshot_20210923-022146.png
 
Huyu Martial leo ni kama alitufanya kucheza pungufu kwa dakika zote.

Ila cha kushangaza katolewa Mata na Telles kaachwa the sleeping Martial.
Ole huwa anapenda kuwaridhisha baadhi ya wachezaji wake hata kama ni underperfoming...

Martial ilibidi awe benchi kabla ya dakika ya 60.
 
Taratibu tutaelewana tuu.
Taratibu mnatoka UCL, taratibu mtaenda Europe league, taratibu mtatolewa EL, taratibu mtatolewa top 4 EPL, taratibu mtaanza kumkataa Ronaldo/kocha/wachezaji, taratibu mtaendelea na wimbo wenu wa kila siku.

London is blue 💙🔵💙
Yeah! London is blue 💙
 
Back
Top Bottom