Manchester United (Red Devils) | Special Thread

Manchester United (Red Devils) | Special Thread

Rashford na Cavani wapone haraka aisee
Hata wakipona mkuu kwa kocha huyu hakuna jipya, kikosi cha leo kilikuwa na wachezaji wazuri tu kuliko wa west ham, hata tukishinda huwa ni kwa tabu sana hata tunapocheza na timu ndogo.

Makombe yenyewe ya kuchukua ndio haya tia kuni unaleta confidence wkt mbinu huna, kile ki Martial kule mbele kakipa muda wote ule wa nini?

BADO HAJAFUKUZWA TUUUUUUUUU......
 
Tumefikia hatua ya kuwa tunapigwa dk 9 ya mchezo, kisha tunashindwa kutumia zile dakika nyingine 81 kutafuta walau GG?
Tusidanganyane hapa, hatuna kocha wa kuchukua ubingwa mbele ya EPL ya msimu huu ilivyo ya moto.
 
Hata wakipona mkuu kwa kocha huyu hakuna jipya, kikosi cha leo kilikuwa na wachezaji wazuri tu kuliko wa west ham, hata tukishinda huwa ni kwa tabu sana hata tunapocheza na timu ndogo.

Makombe yenyewe ya kuchukua ndio haya tia kuni unaleta confidence wkt mbinu huna, kile ki Martial kule mbele kakipa muda wote ule wa nini?

BADO HAJAFUKUZWA TUUUUUUUUU......
Ole ni mavi ya mbwa tu.
 
IMG-20210923-WA0000.jpg
 
Yu noo the bois a doingi pretty well andi we a improving u noo so next match we will try to be more aggressive im hapi withi my team and my Name is Ole Sendeka.
 
Mnaohitaji link ya mechi hii hapa ya Twitter, hakuna lags ni ku-enjoy soka mwanzo mwisho.

Hii link mzee nimeikubali..nipo porini lakini nimecheki gemu..

Ndo unayotumia kuwatch weekend games pia?
 
Back
Top Bottom