Manchester United (Red Devils) | Special Thread

Manchester United (Red Devils) | Special Thread

i hope we can cope...now its time for the likes of cleverly,anderson,kagawa,fellaini to show what they are made of!!!

Jamaa yupo kiwango sana katika kumiliki kiungo na kuchezesha timu, Pendo lake litatutesa sana hasa kipindi hichi muhimu katika kurudi kwenye nafasi ya kuongoza. Anderson namkubali japo hawezi kucheza dkk 90, Cleverly ni mzuri kwa kuwa anashambulia zaidi, Kagawa hawezi kukaba yeye ni mchezeshaji tu, Fellain ni mzuri kukaba ila ni mzito sana kwenye mechi ambayo ina kasi hawezi kabisa kucheza. Binafsi ningependa kuona Big Phil (Jonhs) kucheza nafasi ya Carrick
 
Jamaa yupo kiwango sana katika kumiliki kiungo na kuchezesha timu, Pendo lake litatutesa sana hasa kipindi hichi muhimu katika kurudi kwenye nafasi ya kuongoza. Anderson namkubali japo hawezi kucheza dkk 90, Cleverly ni mzuri kwa kuwa anashambulia zaidi, Kagawa hawezi kukaba yeye ni mchezeshaji tu, Fellain ni mzuri kukaba ila ni mzito sana kwenye mechi ambayo ina kasi hawezi kabisa kucheza. Binafsi ningependa kuona Big Phil (Jonhs) kucheza nafasi ya Carrick

Lakini bado anahitajika defensive minded deep lying midfielder ambaye anaweza kutoa pasi vizuri kwa wenzake na kuleta calmness kwenye kiungo na kuusoma mchezo vizuri. Carrick sasa hivi ni 32yrs, january inabidi anunuliwe kiungo wa aina hii. Upande wa Box to box Jones, Cleverly na Anderson wanaweza kucheza, attacking mids wapo pia lakini midfielders wa type za Roy Keane, Mascherano, Montolivo, De jong, Makelele etc. hatuna zaidi ya Carrick
 

Mie nikimbie wakati naongoza ligi tena kwa credit what a joke! ..... .. what are you talking about? Only ------ and Mburukenges react the way you do. You can do better than that! Chacha upo nyuma hatua tano then unafikiri umetangulia, usitoroke tu maana Theo, Ox na Pod wapo njiani kurejea .... ... hapo ndipo utatambua Gunners imejengwa kwa Granite. .... .... ... chini ya prof. There is only one prof.

kuna jamaa anasema hivi "What, losing to a team fighting for 5th place? It happens, we underperformed but swe're top and frankly we've got much bigger fish to fry than Moyes' mere mortal misfits...."
 


kuna jamaa anasema hivi "What, losing to a team fighting for 5th place? It happens, we underperformed but swe're top and frankly we've got much bigger fish to fry than Moyes' mere mortal misfits...."

Kuongoza ligi ni ishu sana kwenu, soon mtashuka sijui mtaanzaa kusema visingizio vipi tena
 
Nimefanikiwa kupata softcopy ya kitabu cha SAF "My Autobiography" nimeweka attachment kwa mashabiki wa Manchester United na wengineo

Mkuu Belo tafadhali fanya mpango nipate hiyo soft copy ya kiatbu cha SAF.
 
Last edited by a moderator:


kuna jamaa anasema hivi "What, losing to a team fighting for 5th place? It happens, we underperformed but swe're top and frankly we've got much bigger fish to fry than Moyes' mere mortal misfits...."

hell yeah.......

MAN UTD VS ARSENAL RECORD....
man utd 1-arsenal 0
man utd 1-arsenal 1
man utd 2-arsenal 1
man utd 2-arsenal 1
man utd 8-arsenal 2
man utd 0-arsenal 1
man utd 2-arsenal 0

man utd 1-arsenal 0

man utd 3-ars enal1

man utd 2-arsenal 1
man utd 0-arsenal 0
man utd 3-arsenal 1
man utd 1-arsenal 0
man utd 1-arsenal 2
man utd 2-arsenal 1
man utd 4-arsenal 0

man utd 2-arsenal 2
man utd 1-arsenal 2
man utd 0-arsenal 1
man utd 2-arsenal 0

man utd 0-arsenal 0
man utd 0-arsenal 0[arsenal won 5-4 penalties,FA CUP FINAL
 
Tukishinda game tatu mfululizo tutasogea sana. Glory, glory Man Utd!
 
another injury blow........

A5A83D3D693C4F9386C6845C7262B3FD.ashx
 
BREAKING NEWS: Michael Carrick has extended his #mufc contract to June 2015, with an option to sign for a further year. @carras16

Carrick: "It's great to extend my contract at this club. I'm really enjoying my football. I've won many trophies and look forward to more."

David Moyes: "I'm delighted Michael has extended. He's a great reader of the game and has excellent passing ability." #mufc
 
[h=1]Preview: Cardiff City[/h]Date, time and coverage: Sunday 24 November, 16:00 GMT. The match will be shown live on Sky Sports in the UK. Follow ManUtd.com's live blog and MUTV Online's exclusive radio commentary.

Form guide: United are unbeaten in nine games in all competitions following the stirring 1-0 win over Arsenal which came before the break in the domestic programme for the latest round of international games. Cardiff have been unable to string together a good sequence of results, losing last time out at Aston Villa having stayed unbeaten for the two games beforehand. Having shocked Man City with a fine 3-2 victory in August, Malky Mackay's side did not win at home until they beat Swansea on 3 November.

Ins and outs: Michael Carrick is recovering from an Achilles tendon injury, while Danny Welbeck's absence with a knee problem is likely to continue. Phil Jones pulled out of the England squad last weekend with an injury picked up in the defeat to Chile. Cardiff's Danish striker Andreas Cornelius is hoping to return from the ankle injury that has kept the 20-year-old on the sidelines since August.
Betting: The Reds are a short-priced 1.60 to win at the Cardiff City Stadium, with hosts a slightly more distant 5.50. The draw is 3.75, but as ever our official betting partner bwinhave a range of tempting offers, including 34.00 on Adnan Januzaj scoring first in a 2-0 win for United.
Last meeting: The two clubs have not faced each other since 1st March, 1975, when United hammered the Bluebirds 4-0 as they closed in on the
 
Now, we must win at Cardiff. Loserfools have dropped points....

A win at Cardiff, would put #ManUnited 1 point behind them....

I will be also delighted if Goons vs. Soton would end up as a draw....
 
Cardiff vs. United is a must win game for #ManUnited ....

Loserfools and Sotons have dropped points...if Pensioners also drop points at Upton Park, then a win would take United to the 3rd position....

#GGMU
 
  • Thanks
Reactions: RR
Today is must win game ambayo itatuweka kwenye nafasi nzuri kuwakamata mmoja mmoja hadi kufikia nafasi ya kwanza ndani ya December au January
 
Man United starting XI v Cardiff: De Gea; Smalling Ferdinand Evans Evra; Fellaini Cleverley; Valencia Rooney Januzaj; Hernandez.

Subs: Lindegaard, Buttner, Anderson, Giggs, Nani, Young, Welbeck
 
Back
Top Bottom