Manchester United (Red Devils) | Special Thread

Manchester United (Red Devils) | Special Thread

Wolves wanacheza jinsi tulivyopaswa kucheza sisi. Wolves hawakabi kwa macho, kitu wanakosa ni umakini kule mbele tu. Pia sisi defensively leo tumeonyesha kiwango kizuri. Varane mzee wa kazi ndiyo kitu tulihitaji.

Fred hakuna kitu anafanya, hafanyi kazi yake ipasavyo dimba la kati.

James ni yuleyule, atapata chance nzuri mara ghafla anakuwa kama hana macho.

Kwa ukosefu wa Scott ni heri Ole angeanza na VDB badala ya Pogba, Sancho kulia na Martial kushoto.

Kwasasa Cavani aingie, James atoke.


Sancho, Martial bado sana
 
Traore by afar better than Sancho


Traore was in the market for a half that costed Manutd to buy Sancho.

Who is dumb the manager or the scout team or both?
 
Traore by afar better than Sancho


Traore was in the market for a half that costed Manutd to buy Sancho.

Who is dumb the manager or the scout team or both?
Sancho siyo mbovu kiasi hicho cha kumlinganisha na Traore, hii ndiyo game yake ya kwanza anaanza kikosi cha kwanza, hii mechi ukiambiwa ufanye scouting ya mchezaji wa kumnunua hata Bruno utamkataa.

Tumekutana na tough opponent, dogo bado haja-settle, slowly atakaa poa.
 
For the first time na-miss mechi ya ligi for years now..

Nadhani ni utopolo tu tunacheza..

Anyway,ngoja tuendelee kulipa mahari hapa tuchukue mke.
 
Tatizo lako ni upeo kwa hiyo huwezi kudadavua.

Tatizo la Manutd ni kocha hajui kupanga timu au kununua wachezaji.

Badala ya kumchezesha Sancho hiyo nafasi angemchezesha Pogba na nafasi ya Pogba angelimchezesha Matic.

Badala ya kumnunua Sancho angelimnunua Lewandowski ambaye anatafuta new challenge
Sasa Lewandowski kasema anataka kuondoka lini na Sancho kanunuliwa lini?

Yaani labda useme badala ya Ronaldo angekuja Lewandowski.
 
Sancho siyo mbovu kiasi hicho cha kumlinganisha na Traore, hii ndiyo game yake ya kwanza anaanza kikosi cha kwanza, hii mechi ukiambiwa ufanye scouting ya mchezaji wa kumnunua hata Bruno utamkataa.

Tumekutana na tough opponent, dogo bado haja-settle, slowly atakaa poa.
Ndege njema huonekana asubuhi. Huyu ni flop
 
Back
Top Bottom