Manchester United (Red Devils) | Special Thread

Manchester United (Red Devils) | Special Thread

Eh mzee we tulia uone
Kama una namba ya ole mpigie kabisa mwambie CR7 ndo anguko lake man utd

Mchezaji quality kama yule akija klabuni kwako afu ni mtu ambaye ameprove anaweza kucheza kokote na kuleta mafanikio ndugu yangu kama wewe ni kocha ni jambo jema kama una mbinu na baya kama huna mbinu

Pochettino sahivi UEFA kila mtu anaona ni mali yake lakini watu wote hawajaangalia hata mechi moja ya wachezaji wote waliosajiliwa wakicheza pamoja ili kuona timu ikoje. we unahisi kwanini?? Katika mpira wachezaji wazuri waliokuwa na consistency mara nyingi wakienda club mpya mashabiki wanakua na mategemeo ambayo walikiwisha yaona hapo mwanzo kwa hao wachezaji kutoka former clubs

Sasa hivi kila mtu anagoja ronaldo atafanya nn pale na akishindwa kuscore lawama lazima zitaenda kwa ole tu..watu watatumia past experience kumjudge huyo coach na obviously ronaldo na ole man utd mkubwa ronaldo nmetype sana ila cha msingi ni hichi CR7 hataondoka man utd isipoleta mafanikio kabla ya ole sendeka kuondoka

Ole we are waiting for your move, eh aondoke tupumue sasa maana yule jamaa sijawahi kuchukia kocha kama yeye nlivomchukia

Mnaweza shangaa kesho namba tisa akakaa martial tena
Na nne phil jones afu namba kumi akamweka lingard

Sijui wanamfataga ofisini kulalamika mpaka anawaweka mm sijui kwa kweli
Mkuu nimecheka sana ulivyomaliza hapo kuwa "mimi siju kwakweli" hahaahaha Ole anakazi sana msimu huu.....rebuild miaka 5 na mastaa juu sijui atajitetea nini safari hii.....

Bruno, Ronaldo, pogba, maguire, varane, Rashford kwamba hawawezi kutuoa hata carabao?
 
Mkuu nimecheka sana ulivyomaliza hapo kuwa "mimi siju kwakweli" hahaahaha Ole anakazi sana msimu huu.....rebuild miaka 5 na mastaa juu sijui atajitetea nini safari hii.....

Bruno, Ronaldo, pogba, maguire, varane, Rashford kwamba hawawezi kutuoa hata carabao?
Hawataweza kwa sababu hana mbinu zozote , ni empty headed
 
Leo ziko ngapi. Au zimestack
instagram ni 12,431, 833 likes.....alafu huko twitter mpaka jana ni amefanya kuzidi tweet ya Messi....Mara tatu ya retweet, mara 2 zaid ya likes na mara 4 zaid ya response......

samahani kama nimekukwaza.
 

Attachments

  • IMG_20210829_103646_726.JPG
    IMG_20210829_103646_726.JPG
    101.5 KB · Views: 7
  • IMG_20210829_103646_726.JPG
    IMG_20210829_103646_726.JPG
    101.5 KB · Views: 8
instagram ni 12,431, 833 likes.....alafu huko twitter mpaka jana ni amefanya kuzidi tweet ya Messi....Mara tatu ya retweet, mara 2 zaid ya likes na mara 4 zaid ya response......

samahani kama nimekukwaza.
Kwa iyo hizo like ndio zinaenda kucheza uwanjan Leo na wolves ??


Fans wa united ni zero brain kabisa
 
Unajua nguvu ya momentum na motivation kwa wachezaji?

haujui hata vitu vidogo kama mapokezi ya cristiano ronaldo mitandaoni, yanaeffect kubwa kwa wachezaji wetu.....
Acha kuwa kilaza ,martial ,magwaya ,Fred ,rashford ni wale wale ,hata ashuke malaika toka mbinguni ....
 
Acha kuwa kilaza ,martial ,magwaya ,Fred ,rashford ni wale wale ,hata ashuke malaika toka mbinguni ....
sasa kama ni walewale wewe inakuumiza nini mzee....kocha wako mwenyewe amekili nyinyi ni timu ndogo jana kushindana na sisi ila wewe unashupaza shingo

Mmemkosa Messi, ronaldo, kane na bado mtaendelea kukosa mastaa wote maana nyinyi bado ni timu ndogo sana hata baada ya kuwafunga arsenal 5 bado arsenal ni timu kubwa mbele yenu.
 
Mkuu nimecheka sana ulivyomaliza hapo kuwa "mimi siju kwakweli" hahaahaha Ole anakazi sana msimu huu.....rebuild miaka 5 na mastaa juu sijui atajitetea nini safari hii.....

Bruno, Ronaldo, pogba, maguire, varane, Rashford kwamba hawawezi kutuoa hata carabao?
Unakaaa yani unajiuliza unakosa jibu


Au labda yeye kuna mpira mwengine anaangaliaga sio huu tunaouona wote?
 
We utakuwa teja, siyo mtu wa mpira. Mashabiki wa mpira hawasumbuliwi na tambo za kishabiki
Huwezi linganisha the champion of England na takataka inayoelekea kushuka darajan kama arsenal ,miaka zaidi ya kumi haijacheza CL hata ndotoni ,na wala hawategemei labda baada ya miaka 10 ijayoo huko ...

Huo ni zaidi ya upimbi kudadekii .....
 
Wazee hebu tujadili soka kidogo.......

Mnaonaje hali ya pale juu maana Spurs wameanza msimu vizuri ila naona ni kama nguvu ya soda maana style wanayocheza haitofautiani sana na Mourinho, katika mechi 3 wamefunga goli 3 tu bila kuruhusu goli. Kwa aina ya timu walizokutana nazo ukitoa City ni timu za kawaida katika ligi.

Nategemea anguko kubwa la Spurs kwa mfumo wanaotumia, droo zitatoka nyingi tu kulingana na aina ya kocha waliyenaye maana mbele ya Nuno ni kukaba zaidi kitu kinachopelekea kuona wanapata magoli machache ila wana uwezo mzuri wa kuyatunza.

So far Spurs mipango yao imefanya kazi 100%

Chelsea ndiyo timu inayoonyesha uhai kila idara, wapo vizuri ktk kulinda, kumiliki na kushambulia japokuwa mbele bado sijaona kilichoongezeka ukilinganisha na last season.

City hawa jamaa "they mean business" ila hawajaanza msimu vizuri, siyo kuwa ni wabovu ila ktk mechi 3 mbinu za Pep zimefeli kubeba points 3. Man. City kushinda mechi ni kitu cha kawaida, kiufupi wapo vizuri.

Liverpool sioni sababu ya mashabiki wake kupiga kelele nyingi, hawawezi kubeba ubingwa kwa jinsi wanacheza uwanjani.

Timu yangu sasa, Man. Utd "TUWE SERIOUS" au "OLE HAYUPO SERIOUS" hana kikosi kinachoeleweka yeye akiamka tu fulani aanze basi anaanza. Defensively tuko vibaya sana, front line kuna siku wakiamua hata 5 unapigwa. Huwezi kushinda mechi ukiwa unashindwa kutawala dimba la kati na nyuma kuna mapazia kwasababu mbele wakishindwa kuwa clinical unaishia kupata droo.

Ila kwa ongezeko la Ronaldo na tukibadilisha mfumo hata tusipokuwa vizuri nyuma idadi ya magoli ndiyo itatupa points.

Leo naangalia mechi nione kama kweli tupo serious, ninachojua uwezo wa kupata goli 1 kwa Wolves upo ila kulilinda ndiyo mtihani. Sasa kwa aina ya timu tunacheza nayo ukiwabahatisha mara moja lazima ujue namba ya kujilinda.

MAGUIRE na VARANE
 
Back
Top Bottom