Eh mzee we tulia uone
Kama una namba ya ole mpigie kabisa mwambie CR7 ndo anguko lake man utd
Mchezaji quality kama yule akija klabuni kwako afu ni mtu ambaye ameprove anaweza kucheza kokote na kuleta mafanikio ndugu yangu kama wewe ni kocha ni jambo jema kama una mbinu na baya kama huna mbinu
Pochettino sahivi UEFA kila mtu anaona ni mali yake lakini watu wote hawajaangalia hata mechi moja ya wachezaji wote waliosajiliwa wakicheza pamoja ili kuona timu ikoje. we unahisi kwanini?? Katika mpira wachezaji wazuri waliokuwa na consistency mara nyingi wakienda club mpya mashabiki wanakua na mategemeo ambayo walikiwisha yaona hapo mwanzo kwa hao wachezaji kutoka former clubs
Sasa hivi kila mtu anagoja ronaldo atafanya nn pale na akishindwa kuscore lawama lazima zitaenda kwa ole tu..watu watatumia past experience kumjudge huyo coach na obviously ronaldo na ole man utd mkubwa ronaldo nmetype sana ila cha msingi ni hichi CR7 hataondoka man utd isipoleta mafanikio kabla ya ole sendeka kuondoka
Ole we are waiting for your move, eh aondoke tupumue sasa maana yule jamaa sijawahi kuchukia kocha kama yeye nlivomchukia
Mnaweza shangaa kesho namba tisa akakaa martial tena
Na nne phil jones afu namba kumi akamweka lingard
Sijui wanamfataga ofisini kulalamika mpaka anawaweka mm sijui kwa kweli