D A E M U S H I N
JF-Expert Member
- Dec 15, 2015
- 22,633
- 121,022
narudi tena na hili swali japokuwa chief mkwawa alijaribu kunipa majibu, kwa nini vilabu vyengine mfano wa chelsea na liverpool hufanikiwa kwa urahisi sana kuwauza wachezaji wao lakini kiupande wetu huwa ni tofauti?
kwa jicho la kawaida ukiangalia hapo utagundua chelsea mpaka sasa wana net spending ya paundi millioni 5 baada ya kumnunua lukaku kwa paundi millioni 98 (kwa mujibu wa sky sports).
axel tuanzebe, jesse lingard, andreas perreira, diogo dalot, brandon williams, eric bailly, daniel james, nemanja matic.
hawa wote mbona hawauziki?
kwa jicho la kawaida ukiangalia hapo utagundua chelsea mpaka sasa wana net spending ya paundi millioni 5 baada ya kumnunua lukaku kwa paundi millioni 98 (kwa mujibu wa sky sports).
axel tuanzebe, jesse lingard, andreas perreira, diogo dalot, brandon williams, eric bailly, daniel james, nemanja matic.
hawa wote mbona hawauziki?



