marcoveratti
JF-Expert Member
- Sep 21, 2017
- 1,092
- 1,917
Opel l8ter
Ipo deep sana aise.Thanks for sharing!Barua ya sir Alex kwa Eric cantona miaka 24 iliopita
View attachment 1897572
Wewe mwenyewe umeongelea historia kwa kusema since 2000, unajifurahisha kwa kuweka limitNajaribu kuongelea overall ...mnapokosa makombe nyumbu mnakimbilia historia Tu huku mkipata maumivu makali moyoni kama ndo njia ya kujifariji.....huyo WA Chelsea hata kama n historia lkn tokea 2000 ameshuhudia timu yake ikichukua makombe mengi kuliko timu yoyote hapo EPL ...angalieni msiende msimu wa 5 trophiless
Sent from my CPH1923 using JamiiForums mobile app
Vita ya DM
Umegundua jambo gani la umuhimu?
- Pape sarr - miaka 18, anacheza Metz ya ufaransa. Anawaniwa na vilabu vikubwa vitatu vikiwemo Chelsea na man city
- Aurelien tchouameni - anacheza monaco, huyu naye ana vita yake kama ya Huyo wa juu na ana miaka 21
- Camavinga - ana miaka 18, anawaniwa na vilabu vitatu vya nchi tatu tofauti
Ila nyie mnachekesha kinomaOpel l8terView attachment 1897400
...Sasa unataka nijivunie makombe ya miaka ya 90 ambayo asilimia kubwa hapa hatujawahi kuiona ligi ikiwa broadcasted mpk miaka ya 2000Wewe mwenyewe umeongelea historia kwa kusema since 2000, unajifurahisha kwa kuweka limit

Historia ni historia ila kama wewe umeamua kujiwekea limit kwa kujifurahisha hamna mtu anakukataza kakaSasa unataka nijivunie makombe ya miaka ya 90 ambayo asilimia kubwa hapa hatujawahi kuiona ligi ikiwa broadcasted mpk miaka ya 2000![]()
Basi historia ya kuanzia miaka ya 90 kurudi nyuma ifutwe..Sasa unataka nijivunie makombe ya miaka ya 90 ambayo asilimia kubwa hapa hatujawahi kuiona ligi ikiwa broadcasted mpk miaka ya 2000![]()
Hapo juu ,...
Man utd ataongoza....
Chelsea ataongoza league ...
Liverpool ataongozaa league ...
itafika muda hata lecister city ,westham na spurs ,wataongoza league ....
ila kidume man city tukishakaa pale juu at the top ,gari linaenda kuzimika may ,EPL imeshatua ....
Keep watching nigga.....