Manchester United (Red Devils) | Special Thread

Manchester United (Red Devils) | Special Thread

1629118005469.png
 
The guy is so optimistic amekosolewa sana misimu miwili iliyopita lakini hajawahi kupaniki wala kulalamika.

Kuna kipindi unaona kabisa hili ni kosa la slab head ila watu watakuja hapo kosa ni la Lindelof.

Ngoja tusubiri hii vita naona Bailly yeye kashapoteza pambano kabla ya kuingia uwanjani.
Hakika. Jamaa damu ya kunguni km Rivaldo
 
Niliisubiri ligi kwa hamu hatimaye ikaanza, baada ya ligi kuanza nikasubiri mashabiki lia lia akina OllaChuga Oc na wenzake waje kulialia kama ilivyo ada, lakini kwa hali ya kuskitisha wapo kama wamekula ulanzi(hawana jambo) hii ni picha ya wazi kabisa kuwa the devil is awake and the show is on, popote ulipo shabiki wa man u nataka nikuhakikishie kuwa huu ni msimu wa burudani non-stop, just a reminder, mechi iliyopita varane na cavani hawakuhusika, Sancho alitoa huduma kidogo tu, sasa zile big match tulizotoa sare wataita maji mma
 
Timu yetu ya IT are the best sana.....hizi presentations videos kali sana
Kazi ya bwana "Cliff Briggs" hiyo.

I wish one day vilabu vikubwa bongo vitoe fursa kwa designers kuunda timu ya kusimamia masuala mazima ya digital content production: photography, motion graphics, video editing na kila mmoja apewe kazi moja tu.

Timu za bongo mtu mmoja anapewa majukumu yote ya digital content production na ndiyo hupelekea kutoa kazi mbovu. Kazi za design ni ngumu sana na mtu mmoja hawezi kuwa graphic designer, photographer, video editor kwa wakati mmoja maana zinahitaji akili nyingi kuwa creative na kujua technology nyingi mpya.

Sasa hivi kwenye Global Head of Social Media yupo bwana "Nick Speakman" namna hivi vilabu vya nje vinafanya kazi vinavutia sana, timu inayounda kitengo cha content creators & social media ni kubwa sana na inaongeza ufanisi wa kazi.
 
Niliisubiri ligi kwa hamu hatimaye ikaanza, baada ya ligi kuanza nikasubiri mashabiki lia lia akina OllaChuga Oc na wenzake waje kulialia kama ilivyo ada, lakini kwa hali ya kuskitisha wapo kama wamekula ulanzi(hawana jambo) hii ni picha ya wazi kabisa kuwa the devil is awake and the show is on, popote ulipo shabiki wa man u nataka nikuhakikishie kuwa huu ni msimu wa burudani non-stop, just a reminder, mechi iliyopita varane na cavani hawakuhusika, Sancho alitoa huduma kidogo tu, sasa zile big match tulizotoa sare wataita maji mma
Hahahahaha hii manure tushaizoeya hamuna jipya humu ni mwendo ule ule wa Ole kung'ata na kupuliza. Mkija shtuka mpo level zile zile wakati chama kubwa, chama pendwa, chama la wanna, timu ya baba, timu ya mama, timu ya babu na bibi CHELSEA FC inaendeleza tu kubeba back to back hadi kieleweke. Hii manure sioni popote pale siyoni ikifanya jambo la kueleweka kabisa. Huyu Sancho ,Varane mmepigwa ..subirini game ya kumi uko ndo mutajua hii timu mbovu kiasi gani.

CFC
 
Hahahahaha hii manure tushaizoeya hamuna jipya humu ni mwendo ule ule wa Ole kung'ata na kupuliza. Mkija shtuka mpo level zile zile wakati chama kubwa, chama pendwa, chama la wanna, timu ya baba, timu ya mama, timu ya babu na bibi CHELSEA FC inaendeleza tu kubeba back to back hadi kieleweke. Hii manure sioni popote pale siyoni ikifanya jambo la kueleweka kabisa. Huyu Sancho ,Varane mmepigwa ..subirini game ya kumi uko ndo mutajua hii timu mbovu kiasi gani.

CFC
Hahaha hayo makombe mnashtuka kuyabeba sasa hivi mnajiona wachojii, round hii tunakupiga nje ndani ewe mpangaji wa Stamford
 
Hahaha hayo makombe mnashtuka kuyabeba sasa hivi mnajiona wachojii, round hii tunakupiga nje ndani ewe mpangaji wa Stamford
Mkuu kila mtu anajua bingwa ni Chelsea msimamo utakuwa hivi ..

Chelsea
Man city
Leicester
Spurs
Liverpool
Man united(manyumbu)

Hii najua wengi mtapinga maana mumetarajia mengi huu msimu lakini tutawashangaza sana.
 
Mkuu kila mtu anajua bingwa ni Chelsea msimamo utakuwa hivi ..

Chelsea
Man city
Leicester
Spurs
Liverpool
Man united(manyumbu)

Hii najua wengi mtapinga maana mumetarajia mengi huu msimu lakini tutawashangaza sana.
Msimamo
Man u
Spurs
Liverpool
Man city..
Click here for more
 
1629110369576.png

bado sijauona ubora wa brandon williams tokea siku aliyopewa nafasi kwa sababu ya majeruhi ya fullbacks, nitafurahi zaidi ikiwa klabu wataweka kipengele cha kumnunua kwa timu yeyote itakayomuhitaji. Nikimuangalia alvaro fernandez jinsi anavyocheza nazidi kuingiwa na mashaka juu ya mustakabali wa baadae wa brandon williams labda itumike kanuni ya nepotism
 
Back
Top Bottom