Manchester United (Red Devils) | Special Thread

Manchester United (Red Devils) | Special Thread

Dah! Vida na Evans huwa wanasimama poa sana huyu Phil Jihns huwa anajichanganya wakati mwingine na tayari ana kadi
 
Manchester-United-vs-Arsenal-2717619.jpg
 
Bunduki zimewaelemea maana tayari kataga
yai moja Arsenal. Wembe ule ule leo ushindi
 
Timu iko poa naona Arsenal kama kawaida yake wakicheza nasi wanakuwa waoga,cha msingi ni kuongeza presha kwenye flanks,Wenger kajaza viungo kati.Ikifika dakika ya 70 aingie Januzaj akamkimbize Sagna
 
Back
Top Bottom