Wapigwe tu Arsenal liwalo na liwe mimi nasema wapigwe tu.
Goooal!! Robin van Parsie kaitendea haki kona ya Rooney!
Kadi ya Njano kwa Sgna ni nafasi nzuri sana kwa Utd kupitishia mipira yao kwake ili kumtafutia kadi, ni vizuri Januzaj akaingia mapema ili kumchanganya zaidi