mkorea
JF-Expert Member
- Aug 16, 2016
- 8,582
- 19,226
Msimu huu man u kuingia top 6 ni sawa na ngamia kupita kwenye tundu la sindanoUzuri wake msimamia mazoezi anamaliza nafasi za juu kwenye ligi kushinda makocha.
Sasa kumbe akikaza msimu huu anaweza kuwa bingwa, ligi si haina fainali.
4, 3, 2,.....![]()


