Rutashubanyuma
JF-Expert Member
- Sep 24, 2010
- 219,504
- 911,249
The body chemistry is there now is the time to deliver the goodies
Hapa tuko pamoja Jombaa. Binafsi sijawahi kuwaelewa waingereza kabisa, wana gharama kubwa mno kuliko uwezo wao halisi.Niliwahi kusema.
Kutoa hela nyingi kwa wachezaji wa kingereza sio sahihi.
Ni wachezaji average sana ila ni gharama mno. No value for money.
Angalia Harry Kane anataka kuondoka Spurs. Ila hakuna timu ilioonesha serious kutaka mchukua.
Grealish unadhani ana hiyo thamani? Ame prove nini cha kumfanya anunuliwe kwa hiyo hela?
Verane tumetoa 45M ila Maguire tumetoa 80M. Wana utofauti upi?
Bruno angekuwa muingereza price tag yake ingekuwa not less than 120M.
Kuna wakati tuangalie vipaji toka nje ya UK.
Ila hii tabia ya kukumbatia hawa waingereza inazidi igharimu timu. Hakuna wachezaji wenye akili ya mpira. Mabenteke ndo yamejaa.
Bei alionunuliwa Bissaka alitakiwa apige kazi kama kina Dani Alves. Ila hakuna maajabu yeyote. Leo tunawaza tena kumchukua beki mwingine.
Sijakataa.Kisheria tuna nafasi moja tu ya mchezaji mwenye uraia tofauti na Uingereza, kama tukisajili wachezaji wawili (kama ripoti zinavyodai) tegemea mmoja wao ni Muingereza mwingine anakuja.
Filosofia pekee ni na nzuri ni kupandisha hawa viumbe.Hapa tuko pamoja Jombaa. Binafsi sijawahi kuwaelewa waingereza kabisa, wana gharama kubwa mno kuliko uwezo wao halisi.
Niliwahi kusema tulipaswa kuwa na sera ya kuwapandisha waingereza kutoka timu za vijana (90% wamejaa wao) na sio kupoteza pesa kuwanunua. Mf. Class of 92' pamoja na Marcus & Mason.
Ukiangalia sasa hivi media platforms za Uingereza zinaaminisha watu wengi kwamba Declan Rice ndiye kiungo wa ulinzi bora pekee aliyoko sokoni. Kitu ambacho si cha kweli kuna Ruben Neves na Joao Palhinha ambao wanapatikana kwa nusu bei ambayo Westham wanaitaka (Pound 40M).
Mourinho bhana...
Jana Roma wamecheza game ya kirafiki lakini gemu ikaisha kwa Roma kupata red card tatu..wachezaji wawili na Mourinho mwenyewe akala umeme.




Haya mambo ya kununua nunua mashabiki tunayapenda sana lakini yamkini tungeangalia kwa makini nini kinaendelea barcelona basi lau hatuchukui makombe lakini tungeusifu uongozi wa club yetu kwa kuwa na disciplined financial management.Filosofia pekee ni na nzuri ni kupandisha hawa viumbe.
Kununua ni kupoteza fedha.
Mourinho bhana...
Jana Roma wamecheza game ya kirafiki lakini gemu ikaisha kwa Roma kupata red card tatu..wachezaji wawili na Mourinho mwenyewe akala umeme.
Hongereni Sana!Haya mambo ya kununua nunua mashabiki tunayapenda sana lakini yamkini tungeangalia kwa makini nini kinaendelea barcelona basi lau hatuchukui makombe lakini tungeusifu uongozi wa club yetu kwa kuwa na disciplined financial management.
Nimefuatilia kidogo sana sababu za messi kuondoka barca, na sio messi tu, wataondoka wengi, bila hivyo hiyo club ingekuwa bunkrupt na ingewezwa kujifuta.
all this time tumekuwa tukisifia benchi la ufundi la barca kumbe hakuna kitu, the guys were buying trophies, sababu 95% ya mapato ya club yalikuwa yanatumika kulipia wachezaji mishahara, a typical financial mismanagement.
Hii ndio kitu guardiola kapeleka man city, na am afraid mwaka huu asipochukua uefa cup, atafurumushwa, sababu the only way ya project yao kuwa profitable ni kuchukua hicho kikombe.
ndio kitu pia inaendelea pale chelsea, abromovic ni mfanyabiashara, anamwaga pesa kwa malengo, ndio maana makocha hawakai pale, ikibainika tu kocha kaishapotezana muelekeo na uefa cup anafukuzwa.
Mkuu kama vipi tumrudishe Mou nae.


au sio mkuu?..poa ngoja tuongee na Mendes' meneja wake yule.Utakuja kustuka ushapakuliwa.Ianze tu. Nawatamani sana Chelsea
Sosha ni takatakakwamba sosha hamuoni Ruben Neves
Yani wanaona kama kombe washalibeba.Tukubaliane kabla ligi haijaanza
Sosha ni msimamizi wa mazoezi, yani ata kombe la mapinduzi hakuna
Kwa sababu mlivyokua vichwa maji, mkishinda game mbili au tatu huwa mnasahau kabisa
Mkuu ingia gougle uliza 10 DM man u could buy for cheap.Hebu wataje hao DM walio Russia na America kusini. Wazuri wenye kiwango cha kucheza EPL na wanauzwa bei ndogo.
Sent using Jamii Forums mobile app
Dah..mkuu kwani box to bov ni nn unavyojuwa wewe?Box to box ndiyo DM ?
Uzuri wake msimamia mazoezi anamaliza nafasi za juu kwenye ligi kushinda makocha.Tukubaliane kabla ligi haijaanza
Sosha ni msimamizi wa mazoezi, yani ata kombe la mapinduzi hakuna
Kwa sababu mlivyokua vichwa maji, mkishinda game mbili au tatu huwa mnasahau kabisa


