Wild sniper
JF-Expert Member
- Apr 3, 2015
- 4,426
- 8,726
sosha anasema yuko sawa na kikosi chake ok ngoja tuone asije kuanza visingizio badae huko maana naona msimu utakua wa moto sana huu tukicheza makida yetu top 4 tutaisikia kwenye bomba. Ubingwa bado sijawaza ngoja tucheze hata mechi 10 nione kama tumebadilika kiuchezaji.
