Kitoabu
JF-Expert Member
- Jul 7, 2011
- 11,081
- 12,309
Aende tu, kiroho safi.Mwaga wino yaisheView attachment 1866912
Aende tu, kiroho safi.Mwaga wino yaisheView attachment 1866912
Position ya DM ni Rice tu basi, anaweza kucheza karibu kila mfumo, ataturuhusu kutumia 433 bila wasiwasi. Neves ni mzuri ila siyo kucheza kama lone DM, huyo Camavinga siyo typical DM halafu akija anabidi alelewe tena huo muda hatuna, hatuhitaji tena msimu mmoja au miwili ili DM akomae zaidi tunahitaji mchezaji wa kuja kuingia kikosi cha kwanza moja kwa moja. Rice ni option nzuri since anaweza kucheza kama CB pia.Ole lzm tumuamini, we're always united....nasubiri CB, DM next ntachukua kombe : varane in, camavinga or neves in
London boys wanachonga sana ngoja tuonyeshane makali.Nyumbu hizi sajili mnazofanya mnataka kukomba makombe yote aisee?
Dah baada ya varane mkimalizia na usajili wa DM - Rice, kikosi chenu kitakuwa cha moto sana.
Tushakubaliana arsenal ni kikundi cha waonewa huruma.London Boys - Arsenal wasameheni bure mtawaua.
Na wewe unayeifuatilia usiku na mchana umekaaje? Jipime kabla hujapimwaHii timu imekaa kipimbi Sanaaa
HaaahaaaaaaBack line
Shaw magwaya Varane Bisaka
Msimu huu hamtakua tofauti na mwanamke malaya

kwann mkuuOle ana misimu mingapi mpk Sasa?Pamoja na yote Ole asipodeliver kwakweli msimu huu yale tunayo expect atimuliwe tu
Sent from my SM-J730F using JamiiForums mobile app
Saul wa nini ?Nafikiri Neves ni mzuri pia tunaweza muweka kwenye maangalio na Saul
Hivi hiyo backline utaifananisha na hii Tierney ben white holding bellerin??Back line
Shaw magwaya Varane Bisaka
Msimu huu hamtakua tofauti na mwanamke malaya
Haufatilii tetesi zetu mkuu? Tetesi kwa upande wa midfield ni Camavinga, Rice, Neves, SaulSaul wa nini ?