Manchester United (Red Devils) | Special Thread

Manchester United (Red Devils) | Special Thread

Alex Tuanzebe
Aaron Wan Bissaka
Brandon Williams
Nemanja Matic
Daniel James
Jesse Lingard
Andreas Pereira
Mason Greenwood
Juan Mata

Hao ni baadhi ya wachezaji wenu walio tungulia leo goli 4 na QPR. ikumbukwe kuwa hao wachezaji baadhi huanza kwenye 1st eleven.

Kuna NYUMBU zitakuja kusema ni mazoezi kwahiyo matokeo hayana umuhimu, jamani ata kama ni mazoezi ndio mfugwe goli 4 tena QPR.!!!?

Tena goli 3 unafugwa ndani ya dakika 6 kweli, hapa hamna timu.

Hongera sana OLE naona unaendeleza pale ulipo ishia kwa Villarreal.
 
Timu ya kifala sana hii ,sasa pre season tu mnapelekewa moto wa goli 4 ,mnasubili nini kupotea epl
 
Mwaga wino yaishe
PSX_20210724_232330.jpg
 
Back
Top Bottom