Bavaria
JF-Expert Member
- Jun 14, 2011
- 53,092
- 53,568
1. Mishahara mikubwa sana isioendana na viwango vyao.ni sababu zipi za msingi zinapolekea wachezaji wetu kushindwa kununuliwa na vilabu vyengine huku vilabu vyengine mfano liverpool na chelsea kiupande wao inakuwa ni rahisi kufanya hivyo?

#MUFC