Manchester United (Red Devils) | Special Thread

Manchester United (Red Devils) | Special Thread

Mitano tena
IMG-20210321-WA0011.jpeg
 
Najaribu kuwaza kwa sauti,kwanini wasingesubiri walau Ole acheze mechi 20-25 za msimu ujao ndio wafikirie kumpa mkataba mpya baada ya kuona uelekeo wa timu chini yake?
Kulikuwa na timu zinafukuzia saini yake hadi tufanye kwa haraka hivyo hili suala la Ole?
Au ndio tumeamua mitatu tena ya kuishi kwa wasiwasi?
Management yetu ni ya hovyohovyo..
 
Ila binadamu ni walalamishi sana, tungeshinda hii mechi ingesaidia kudetermine ubora wa timu yetu?
Vipi tukifungwa kiwe kipimo cha ubora, acheni hizo wakuu.
Kama sijakosea,kusudio la kucheza hii mechi ni kupima namna gani timu imeweza kushika maelekezo ya mwalimu kimbinu/kiufundi kwenye uwanja wa mazoezi.
Na lengo la kujifunza ni ili ufaulu. Sasa inapotokea umefeli mtihani uliojiwekea unawezaje kujisifu kwamba muda bado?
Kumbuka hii ni QPR tu inayoshiriki ligi za chini kabisa wakati kikosi chetu kikiwa na baadhi ya wachezaji tunaowategemea kuwa sehemu ya kikosi chetu cha kwanza msimu utakapoanza.
 
Kaloga sana ili abaki
Amekumbushia kipindi kile akiwa mwalimu wa muda timu ilikuwa moto sana,alivyosaini mkataba tu tulipoteana kama sio sisi.
Huyu jamaa anafanya kazi vizuri akiwa kwenye shinikizo la mkataba. Man utd ilitakiwa kumpatia mkataba wa mwezi mmoja mmoja tu ili tufanikiwe.
 
Hunipangii kunguni wewe, ..

Hii timu ya kipimbi tu haina tofauti na singida utd ,..

Yaani man utd in takataka tu ..

Msimu mwingine bila kikombe unakuja ,kudadekiii ...


Man city fans na hakuna wakunifanya
Nje ya mada.
Hivi bro una umri gani?
Ukiwa chini ya miaka 20, sikulaumu chochote.
Ila ukiwa zaidi ya miaka 30, basi wewe ni shabiki wa Arsenal ama Liverpool ulie choshwa na uhaba wa ubingwa.
 
Nje ya mada.
Hivi bro una umri gani?
Ukiwa chini ya miaka 20, sikulaumu chochote.
Ila ukiwa zaidi ya miaka 30, basi wewe ni shabiki wa Arsenal ama Liverpool ulie choshwa na uhaba wa ubingwa.
Hapa utakacho ambulia ni tusi tu.
 
Back
Top Bottom