Nina imani msimu huu ni wa neema kwetu united. Mataji +2 ... endapo tukiimarika katika haya
1. Kucheza mipira iliyokufa kwa Accuracy zaidi aidha (defence & offense)
2. Kuimarisha Beki ya kati (CB)
3. Wan Bissaka aimarike Katika Mpira wa kisasa zaidi yaani Ki Mashambulizi zaidi
4. Wachezaji waongeze workrate yao haswa Rashford na Martial. Workrate inayohitajika ni kama ya CAVANI
Varane ataongeza kitu kikubwa sana sana kama akija.. nitamuona Ole ana Akili akiwatoa kina Tuanzabe, Mengi, Fish kwa mkopo kwanza, tuwe na Baily, Lindelof, Varane, Maguire..
Seriously tunaumiss sana ubora wa Martial.. Hakuwa tu na msimu bora ulioisha ila ni kati ya wachezaji bora sana akiwa kwenye ubora wake I hope atarudi fresh this season..
Ujio wa Sancho utamuimarisha sana AWB, huku Greenwood akitokea benchi (Japo dogo ni versatile anaweza kucheza mbele kama striker). Uzoefu wa Cavani pia ni mzuri kwa team..
Tusisahau na kiungo pia we need additional ya kuwapa pressure Freddy, Mcsauce, DVB, Pogba (Kama akibaki). Camavinga mzuri namrate zaidi ya Goretzka kwa kuwa ni majeruhi hana consinstency sana..
Anyway Ole anasogea na anajenga team pia, mabadiliko yanaonekana. Asisahau makipa wamekuwa wengi sana japo Lomero anaondoka ila Lee Grant, De Gea, Henderson, Heaton ni wengi sana, japo nadhani Grant anatusaidia ktk ukocha wa makipa ana experience kubwa sana.
Sent from my SM-J730F using
JamiiForums mobile app