OFFICIAL:
Will Fish has joined Stockport County on a season-long loan from Manchester United.
nadhani hii ni sababu nyengine kubwa inayochangia zaidi wachezaji wetu kutokuuzika kwa sababu ya kuwaandalia mazingira yasio ridhisha ya kumvutia mteja wa nje. Tupunguze hii tabia ya kuwapeleka kwa mkopo wachezaji kwenye ligi za chini na tunapaswa kuliangalia zaidi soko la nje ya nchi kama tunakhofu ya wachezaji wetu kutokuweza kupata nafasi kwenye vilabu vya daraja la premier.
nchi mfano wa germany, spain, italy, uholanzi na hata ureno wana ligi nzuri na zenye ushindani zitakazoweza kuwajenga wachezaji wetu kimbinu na uzoefu endapo watapambana.
ethan laird, teden mengi na wachezaji wengineo wenye future nzuri wanapaswa wapelekwe huko na si kuwapeleka portsmouth, derby, QPR n.k
View attachment 1864999