Papaa Gx
JF-Expert Member
- Oct 10, 2016
- 11,508
- 18,668
Wajinga tu
We stand against all forms of discrimination View attachment 1853464
We stand against all forms of discrimination View attachment 1853464
Varane?
wewe jamaa kushawahi kushindwa kwenye pambano la ubishi?Bora Odoi kajitambua, hao NYUMBU acha wabaguliwe tu.
wewe jamaa kushawahi kushindwa kwenye pambano la ubishi?
Msimu mpya unaanza kuadadeku ,...
Amkeni mkateseke sasa
Duuh..huyu nahisi ndo anayetutia gundu.
Hakuna hata mchezaji amebeba kombee katika hizo kenge zoteeWhen do our players return to training? (Donny is still recovering from groin injury and no mention of Martial)
View attachment 1855629





kunakipind wana mforce pogba acheze upande wa kushoto hivyo ataziba pengooTunaanza na injury kwa key player so sad labda Anthony Martial awe amepona upande wa kushoto utapwaya sana.
Gharama za euro 2020 zimeanza.When do our players return to training? (Donny is still recovering from groin injury and no mention of Martial)
View attachment 1855629
Arsenal hii hii ya Arteta ??Gharama za euro 2020 zimeanza.
Kama sijakosea sana arsenal hakuwa na wachezaji wengi kwenye hii michuano hivyo anaweza kutumia nafasi vizuri kujiweka sawa kabla top 6 wengine hawajachangamka kwenye ligi.
Vinajitutumua tu lakini yawezekana Vilabu vya epl vinapata mzigo mkubwa kwingineko.Madrid barca zimefilisika
Vilabu vya epl ni lini vitafilisika??