Manchester United (Red Devils) | Special Thread

Manchester United (Red Devils) | Special Thread

Varane
Screenshot_2021-07-12-22-23-13-1951499102.jpg
 
Jumla ya wachezaji wote wa Man United kwenye timu za taifa wametoka patupu.

Pogba patupu
Magwaya patupu
Sachonka patupu
Rashidi patupu
Luka shoo holaa
Bissaka holaa
Fred holaa
Mctommary hola

Na wale majirani zenu Man Shityee

At least Chelsea tumepata
Joghihno
Emerson

Hehehe #CFC
Kwani hawakupata medali?
 
Southgate ni msenge sana. Una wachezaji wazuri ila kawakalisha mbao, kwa aina ya ubora wa kikosi cha Uingereza dhidi ya Italy hawakupaswa hata kufika matuta.
Ubora gani waliowazidi Italy mkuu? Ebu jaribu ku-analyse mchezaji mmojammoja wa Uingereza against Italy
 
Hakuna kitu hapa
angalau kilio cha mashabiki kimesikika, ni matumaini yangu tutaimprove na kupunguza kabisa kufungwa magoli ya setpiece
-------------------------------------------
Manchester United have hired Eric Ramsay to be their new set-piece coach.
We've been fortunate enough to convince Eric Ramsay to come and join the best club in the world and in the country,” Ole told club media at Carrington on Monday. “He’s a very highly rated coach who is going to be working with individuals and in charge of set-plays as well.

“We’re excited. He’s young, fresh and with new ideas, an innovative coach we know from before. Kieran [McKenna] knows him really well from Loughborough, so we’re very pleased with that.”
View attachment 1850894
 
Hakuna kitu hapa
ninachofurahia ni kuona klabu imeamua kufanyia kazi positively tatizo lililopo, msimu uliopita timu ilishika nafasi ya kwanza kwa kuruhusu magoli ya set piece (kama nitakuwa sahihi tumeruhusu 23% ya magoli kwa set piece).

hakuna mwenye kinga ya kuzuia set piece ila hiyo asilimia kama itapungua mpaka kufikia 10% huku pia tukiongeza ubora kwenye mashambulizi ya set piece naamini tutakusanya alama nyingi sana.

mpka kesho naikumbuka mechi ya everton jinsi walivyoturudishia goli la 3 kwa set piece dhaifu
 
Lauren James ameachana na kikosi cha Casey Stone na sasa atajiunga na Club ya Chelsea anayocheza kaka yake Reece James.

Alikuwa ni mchezaji muhimu kwenye kikosi cha Casey Stone lakini hakuna jinsi Chelsea wamefanikiwa kumshawishi kujiunga nao.
 
Ulitegemea aendelee kuwa kwenye kundi la NYUMBU?
Lauren James ameachana na kikosi cha Casey Stone na sasa atajiunga na Club ya Chelsea anayocheza kaka yake Reece James.

Alikuwa ni mchezaji muhimu kwenye kikosi cha Casey Stone lakini hakuna jinsi Chelsea wamefanikiwa kumshawishi kujiunga nao.
 
Back
Top Bottom